Kenyan stance provokes MPs

Hamna woga,? unakumbuka Nyang'au mwenzako wa YANA tyres aliyelazimika kuuza nyumba 100m kwa 30m na kulambwa deportation, lakini njooni nyie ni deal kwetu. Hata mi lazima nile hela za hawa ma-illegal economic immigrants maana mnakuja kutuibia. Eti mnataka kuwa watanzania?, mtawahi?, hamna hata haya..kaeni kwenu na ukabila wenu. Kwanza unafikiaga wapi?

kila siku tunapiga kelele kuhusu ubaguzi wa wazungu tena tunafikiri wabaguzi sana ni wazungu wasiosoma,sasa wewe msomi great thinker unataandika maneno yaliyojaa ubaguzi namna hii!!!hivi hii ni forum ya great thinkers au wabaguzi,jadili mada bila kuhusisha ubaguzi,inawezekana kama wengine walivyojadili.
 
unajisikiaje kaka/dada zako in US/UK/GERMAN wakiambiwa maneno haya?


Naongelea Wakenya na si vinginevyo, usiniwekee maneno mdomoni. Wanaposogeza mpaka Km 1 ndani ya Tanzania, wanapowekea NTBs zisizokuwa na ulazima kwenye bidhaa zetu wakati wao wanauza kwetu, wanapongo'a mabango ya adverts za bidhaa za TZ kwao wakati ya kwao yapo huo ni ujirani? Wanapokuja kupora mabenki yetu na kuua watu ni sawa hiyo? Wanapovamia TZ na kuja kuiba ng'ombe na kuua watu mkoa wa Mara na Serikali yao kuwatetea ni halali?, siwahitaji na wapo wengi ambao hawahitaji kama mimi. ITAKULA KWAO...kama ni nje nilikaa sana ila kwa hawa hawajiheshimu hata kidogo. Hata kwenye suala la CITES utambue kuwa TZ ilidhalilishwa na hawa Nyang'au na usidhani kuwa hao wabunge wanaopiga kelele ni wajinga. Unless you r a sell out to Kenyans.
 
Naongelea Wakenya na si vinginevyo, usiniwekee maneno mdomoni. Wanaposogeza mpaka Km 1 ndani ya Tanzania, wanapowekea NTBs zisizokuwa na ulazima kwenye bidhaa zetu wakati wao wanauza kwetu, wanapongo'a mabango ya adverts za bidhaa za TZ kwao wakati ya kwao yapo huo ni ujirani? Wanapokuja kupora mabenki yetu na kuua watu ni sawa hiyo? Wanapovamia TZ na kuja kuiba ng'ombe na kuua watu mkoa wa Mara na Serikali yao kuwatetea ni halali?, siwahitaji na wapo wengi ambao hawahitaji kama mimi. ITAKULA KWAO...kama ni nje nilikaa sana ila kwa hawa hawajiheshimu hata kidogo. Hata kwenye suala la CITES utambue kuwa TZ ilidhalilishwa na hawa Nyang'au na usidhani kuwa hao wabunge wanaopiga kelele ni wajinga. Unless you r a sell out to Kenyans.

Hamna woga,? unakumbuka Nyang'au mwenzako wa YANA tyres aliyelazimika kuuza nyumba 100m kwa 30m na kulambwa deportation, lakini njooni nyie ni deal kwetu. Hata mi lazima nile hela za hawa ma-illegal economic immigrants maana mnakuja kutuibia. Eti mnataka kuwa watanzania?, mtawahi?, hamna hata haya..kaeni kwenu na ukabila wenu. Kwanza unafikiaga wapi?

HAYA NI MANENO YAKO! sijaongeza chochote,yanaonyesha RACISM BIN NAZI..........aidha unaongelea mkenya au mchina its racist period.

whatever wamefanya doesnt give u a right to be a racist.
 
From my opinion, the benefits of the EAC would be;

Improved tourism - Selling East Africa as a package rather than individual states increasing the tourism circuits
Improved transport - Through joint projects, eg, if Uganda is building its Northern corridor, Kenya would be obliged to improve theirs
Import farming products - Especially from Uganda and Tanzania
Laws at the immigration have been loosened - Ease of movement by EA residents
Harmonization of taxation - Based on each other countries laws, products and systems and processes
Use of an EA Passport - Uniformity
Access to educationin any of the EA countries
Increasing inter-marriages
Ability to travel with minimal documentation (abstract)
Reduced tariffs
Reduced cost of goods from neigbouring countries
Employment
Freedom of movement

And many more, but if a country doesnt want, so be it and others can go it alone.
 
Son we will ALWAYS be in your forums, ALWAYS. I guess you have to live with that, and ohh, we will always be in your country too, paper chasing, drinking and having fun with the pretty tanzanian ladies. Karibu Kenya tuone kama utaezana na rat race huku.. LOL

thats right smatta is all up in your backyard doing what it do kenyan style
 
I will plead with the Tanzanian brothers to spare our Animals.

These animals belong to us and the generations to come.

You do not have Kenyan or Tanzanians elephants for they
cross the borders at their will.

For Tanzania to claim that it has more ivory stocks and want
to sell them, then why fight poaching for selling the ivory will
still keep this business going on.

Will there be any difference between the government of Tanzania
and the poachers?

What do you do with all those Mihadarati confiscatedfrom the
the criminals? Do you sell them?

 
I will plead with the Tanzanian brothers to spare our Animals.

These animals belong to us and the generations to come.

You do not have Kenyan or Tanzanians elephants for they
cross the borders at their will.

For Tanzania to claim that it has more ivory stocks and want
to sell them, then why fight poaching for selling the ivory will
still keep this business going on.

Will there be any difference between the government of Tanzania
and the poachers?

What do you do with all those Mihadarati confiscatedfrom the
the criminals? Do you sell them?


I agree na wewe kwamba the ndovuz are not confined within political borders, its obvious we need uniformity and common practices in protecting our elephants. Nadhani sio sahihi kueka pembe za ndovu in the same categories with drugs, mi navoona Tz ingeachwa kuuza hizo pembe za ndovu na pesa itakayopatikana itumike kuongezea nguvu askari wa wanyama pori wanaodhibiti illegal poaching plus pesa itumike pia kwenye maeneo mengine ya conservation. AFterall those ndovuz are already dead, nothing will reverse their life cycle.
 
I agree na wewe kwamba the ndovuz are not confined within political borders, its obvious we need uniformity and common practices in protecting our elephants. Nadhani sio sahihi kueka pembe za ndovu in the same categories with drugs, mi navoona Tz ingeachwa kuuza hizo pembe za ndovu na pesa itakayopatikana itumike kuongezea nguvu askari wa wanyama pori wanaodhibiti illegal poaching plus pesa itumike pia kwenye maeneo mengine ya conservation. AFterall those ndovuz are already dead, nothing will reverse their life cycle.

In addition what has caused Tanzanians to react with comments against Kenya's action isn't the fact that Kenya just opposed the sale of the 100 tons of ivory. It is the method the Kenyan Government used to oppose the sale. A good African neighbour will not choose that direction. Kenya needed to seek for an audiance with the responsible Minister and engage in constructive discussions. It is this very same arrogance that Kenya applies when dealing with its neighbours that irritates partners of the federation we are trying to build. Kenyans are the ones who killed the EAC in the 70s and celebrated it. Doesn't Kenya need to appologise to its neghbours first? Did Kenya take any responsibility for that action? What assuarances are there that after a decade or two they are not going to do the same?
 
Hamna woga,? unakumbuka Nyang'au mwenzako wa YANA tyres aliyelazimika kuuza nyumba 100m kwa 30m na kulambwa deportation, lakini njooni nyie ni deal kwetu. Hata mi lazima nile hela za hawa ma-illegal economic immigrants maana mnakuja kutuibia. Eti mnataka kuwa watanzania?, mtawahi?, hamna hata haya..kaeni kwenu na ukabila wenu. Kwanza unafikiaga wapi?

HAYA NI MANENO YAKO! sijaongeza chochote,yanaonyesha RACISM BIN NAZI..........aidha unaongelea mkenya au mchina its racist period.

whatever wamefanya doesnt give u a right to be a racist.


Are Kenyans a different race from Tanzanians. Wachina wamesogeza mpaka Km1 ndani ya Tanzania? Wachina wanakuja kuzengea illegally ajira zinazoweza kufanywa na mtanzania kwa mitandao ya utaifa na ukabila ndani ya Tanzania huku ma-graduate wa kitanzania application zao zikitupwa na wageni kutoka hiyo nchi moja ninayoiongelea eti hawajuia kiingereza? Najua wachina ni wamachinga pia hapa, lakini siwaongelei wao..huko nyuma pia kulikuwa na thread yao ila bora hata wao walitujengea TAZARA kwa USD 500m ambayo hatujarudisha mpaka leo. Si hivyo tu, wametusaidia kwwenye mambo mengi, je hao wanaokuja kuvuna wasichopanda..hell no. Ndiyo maana sitaki unisemee! Mi nakwenda case by case, that isn't general. Are TZ FDI's derived jobs meant for Kenyans, patachimbika tu! Na kwa mtanzania mwenye degree anayelowea nchi za watu kuosha vyombo, namshauri arudi nyumbani..anatutia aibu. Nashauri warudi nyumbani, there's a lot to gain. Kama hela, ya nyumbani ni nyingi na unaila kwa heshima. Ndio wanafanya hata watu wa nje kuja kuiba kazi za wazawa. Kama ni kiingereza wanakijua, come home...nimeishi North America yote, i know how the situation is.
 
Are Kenyans a different race from Tanzanians. Wachina wamesogeza mpaka Km1 ndani ya Tanzania? Wachina wanakuja kuzengea illegally ajira zinazoweza kufanywa na mtanzania kwa mitandao ya utaifa na ukabila ndani ya Tanzania huku ma-graduate wa kitanzania application zao zikitupwa na wageni kutoka hiyo nchi moja ninayoiongelea eti hawajuia kiingereza? Najua wachina ni wamachinga pia hapa, lakini siwaongelei wao..huko nyuma pia kulikuwa na thread yao ila bora hata wao walitujengea TAZARA kwa USD 500m ambayo hatujarudisha mpaka leo. Si hivyo tu, wametusaidia kwwenye mambo mengi, je hao wanaokuja kuvuna wasichopanda..hell no. Ndiyo maana sitaki unisemee! Mi nakwenda case by case, that isn't general. Are TZ FDI's derived jobs meant for Kenyans, patachimbika tu! Na kwa mtanzania mwenye degree anayelowea nchi za watu kuosha vyombo, namshauri arudi nyumbani..anatutia aibu. Nashauri warudi nyumbani, there's a lot to gain. Kama hela, ya nyumbani ni nyingi na unaila kwa heshima. Ndio wanafanya hata watu wa nje kuja kuiba kazi za wazawa. Kama ni kiingereza wanakijua, come home...nimeishi North America yote, i know how the situation is.

mkuu hayo yote unayoongea ni kweli,lakini ile kauli yako, sitairudia tena, ni RACISM BIN NAZI,there is no way you can justify that.
by the way mengine ni matatizo ya serikali ya tz,wao ndio wanatakiwa kudhibiti hizo ajira na mipaka yetu,na hio hio serikali ya tz ndio itakubali EAC.
 
mkuu hayo yote unayoongea ni kweli,lakini ile kauli yako, sitairudia tena, ni RACISM BIN NAZI,there is no way you can justify that.
by the way mengine ni matatizo ya serikali ya tz,wao ndio wanatakiwa kudhibiti hizo ajira na mipaka yetu,na hio hio serikali ya tz ndio itakubali EAC.


OK, ila sidhani kwamba kama Serikali haiko effective basi na sisi tukae fwaa kana kwamba viongozi wetu hatuwajui. Ndiyo maana tunakutana hapa JF pengine it's also a hatua. Iko siku JF inaweza kuwa chama na kuleta mabadiliko kwenye hii nzuri yenye watawala mambumbumbu..kina kina chief Mangungo.
 
From my opinion, the benefits of the EAC would be;

Improved tourism - Selling East Africa as a package rather than individual states increasing the tourism circuits
Improved transport - Through joint projects, eg, if Uganda is building its Northern corridor, Kenya would be obliged to improve theirs
Import farming products - Especially from Uganda and Tanzania
Laws at the immigration have been loosened - Ease of movement by EA residents
Harmonization of taxation - Based on each other countries laws, products and systems and processes
Use of an EA Passport - Uniformity
Access to educationin any of the EA countries
Increasing inter-marriages
Ability to travel with minimal documentation (abstract)
Reduced tariffs
Reduced cost of goods from neigbouring countries
Employment
Freedom of movemen
And many more, but if a country doesnt want, so be it and others can go it alone.



Even after reading this they will not understand,the intellectual dwarfness of TZ is amazing.They should be the ones celebrating because since they lack the intellectual capacity to run their economy,they should allow Kenyans and Ugandans to show them,WANA WIVU TU.
 
Even after reading this they will not understand,the intellectual dwarfness of TZ is amazing.They should be the ones celebrating because since they lack the intellectual capacity to run their economy,they should allow Kenyans and Ugandans to show them,WANA WIVU TU.
Teh, teh, so you what to mention that kenya is in transition (in second world) as far as the economy is concerned.
Wengi wa wakenya ambao wanaingia kwenye forum hii ni wale narrow minded and shortsighted like smatta, that is why you are arguing like this.
wenzenu wakenya ninaokutana nao huku ughaibuni they get problem to distinguish kenya na somalia, wanasema is a failing state.
 
Even after reading this they will not understand,the intellectual dwarfness of TZ is amazing.They should be the ones celebrating because since they lack the intellectual capacity to run their economy,they should allow Kenyans and Ugandans to show them,WANA WIVU TU.

Economy yenyewe ndio hii? lol hebu tupumzisheni ni hivo vichekesho vyenu..mbavu zinatuuma sasa.
 
Back
Top Bottom