Kenya tour operators warn tanzania on unfairness

tena hizo $200 mbona ndogo sana........kwanza hawa walitakiwa walipe kutokana na vichwa vilivyomo kwenye hizo van zao na pile ada iwe $500 minimum.............ukiangalia tofauti ya nauli za ndege kutua DIA/KIA Vs NBO ndio utagundua kwa nini napendekeza hiyo pesa............Watanzania nilazima tuwe strong kwenye ku-protect interest zetu........
 
.............. Entry fee ipandishwe kutoka $200 ifike $500. Hiyo inaitwa discriminative pricing. Watalii uchwara wanaotaka kuja kwa vans waishie Maasai Mara.
............. No...hapana! Kwa sasa entry fee ipandishwe kutoka $200 ifike $500. No...watalii uchwara si muafaka!

ooops...kumbe ulishaiandika......sawa kabisa mkuu.....heshima mbele.........
 
Hawana jipya hawa, kila jirani mpya anayekuja humu jamvini anaturudisha nyuma kwa threads ambazo tulishazitolea majibu miaka 3 nyuma kama hii...:focus:
 
Here is a simple solution to you Kenyan tour operators: mnapofanya arrangement ya kupokea hao wageni wenu ambao wanavuka kuja Tz, fanyeni mipango na tour operator wa Tanzania ili mnapofika mpakani wahudumiwe na watanzania na wakimaliza visit zao hapa Tz mnawapokea tena hapo mpakani kwenda huko kwenu. Hiyo itasaidia sana kuonyesha kuwa mna nia njema na Tanzania na watanzania wenyewe. Lakini kama mtang'ang'ania huo ulafi wa kutaka mpate mapato yote ninyi bila kushirikisha wenzenu, basi kuweni tayari kulipa hiyo fee wala masilalamike.
Njia nyingine mbadala ni kuanzisha sister tour operator company ambazo zitakuwa na makao Tz ambazo mtafanya nazo kazi kwa kufuata mfumo nilioueleza hapo juu.
Otherwise, lipeni tu hiyo fee muendelee na biashara zenu bila matatizo.
 
Here is a simple solution to you Kenyan tour operators: mnapofanya arrangement ya kupokea hao wageni wenu ambao wanavuka kuja Tz, fanyeni mipango na tour operator wa Tanzania ili mnapofika mpakani wahudumiwe na watanzania na wakimaliza visit zao hapa Tz mnawapokea tena hapo mpakani kwenda huko kwenu. Hiyo itasaidia sana kuonyesha kuwa mna nia njema na Tanzania na watanzania wenyewe. Lakini kama mtang'ang'ania huo ulafi wa kutaka mpate mapato yote ninyi bila kushirikisha wenzenu, basi kuweni tayari kulipa hiyo fee wala masilalamike.
Njia nyingine mbadala ni kuanzisha sister tour operator company ambazo zitakuwa na makao Tz ambazo mtafanya nazo kazi kwa kufuata mfumo nilioueleza hapo juu.
Otherwise, lipeni tu hiyo fee muendelee na biashara zenu bila matatizo.

This is a lazy ideology…..you cannot just sit and wait for your brother to do all the donkey work for you then hand you the benefits when all is done; that’s crazy!
 
This is a lazy ideology…..you cannot just sit and wait for your brother to do all the donkey work for you then hand you the benefits when all is done; that's crazy!
Sheria za Kenya zinaishia pale mpakani, ukivuka tu unakutana na sheria za Tanzania...:)
 
This is a lazy ideology…..you cannot just sit and wait for your brother to do all the donkey work for you then hand you the benefits when all is done; that's crazy!

They should pay the fee without whining then. Hakuna anayetaka kuwa handed the benefits without working, lengo hapa ni kufanya kazi kwa kushirikiana. Kama kufanya kazi kwa kushirikiana hawataki, basi walipe tu fee bila malalamiko. Mbona wao wanataka watumie vivutio vyetu bure? Don't they know that there's no free lunch?
 
Kenya tour operators warn tanzania on unfairness

Kenyans, stop pretending that you can bully or patronize Tanzania with this 'big-brother' statements/warnings etc if you really want your dreams of 'fast-tracking' the East african Federation/community to become a reality. I am afraid with this kind of Kenyan mindset there will be no east-african federation/community/common market even by year 2050..
 
This is a lazy ideology…..you cannot just sit and wait for your brother to do all the donkey work for you then hand you the benefits when all is done; that’s crazy!
what do u mean by 'all the work'? unadhani hizo mbuga hatuzihudumii? au hatu-invest kuzitangaza? fyi tunatumia taxpayers money kutangaza hizo mbuga..na wala hatuna ubia nanyi kwa lolote, hivo if u don't like how we run things just go f<ck urselves
 
Tanzania is going digital. If NTV is looking for an analogue licence then nothing will happen. Citizen inapatikana through DSTV, can NTV do the same?

Watanzania wangapi afford dstv? Watch NTV Uganda includes lots of local Uganda stuff. NTV Tanzania would certainly be welcome alternative to the mediocre TBC.
 
Somethings are best marketed East African. Mfano wiiderbeest annual migration spectacle neither Kenya nor Tanzania can lay claim to sole ownership.
 
TOUR FIRMS in Kenya have
appealed to the Heads of State
Summit — East African
Community’s top decision making
organ — to intervene and resolve a
standoff between them and
Tanzania over a levy charged on
foreign tour vans crossing into the
country.
The tour firms said Tanzania’s
insistence on charging “foreign”
vans was against the tenets of free
trade, which the EAC envisages.
According to Fred Kaigua, chief
cxecutive of the Kenya Association
of Tour Operators (KATO), Kenyan
tour vans are charged $200 to enter
Tanzania at all border crossings.
“There is no such fee charged in
other EAC countries and this is
causing friction between the
Tanzanian authorities and tour
firms,” said Mr Kaigua, adding that
Tanzanian officials maintain that
they were yet to receive orders
requiring them to withdraw the
charges.
However, Tanzania has insisted the
charges are important, and will
remain in force to protect its
fledging tourism sector, which it
says is not as developed as that of
Kenya.
Tanzania has indicated it needs
more time, at least up to 2015,
before it opens its market to EAC
partner states.
At an EAC meeting held in
Mombasa last month, a
representative from Tanzania said
there were some policies and
regulations that will remain in
force, unless a reversal order was
issued by higher authorities

WARN? that is not a language you use to someone you would want to be a good neighbour!
 
Here is a simple solution to you Kenyan tour operators: mnapofanya arrangement ya kupokea hao wageni wenu ambao wanavuka kuja Tz, fanyeni mipango na tour operator wa Tanzania ili mnapofika mpakani wahudumiwe na watanzania na wakimaliza visit zao hapa Tz mnawapokea tena hapo mpakani kwenda huko kwenu. Hiyo itasaidia sana kuonyesha kuwa mna nia njema na Tanzania na watanzania wenyewe. Lakini kama mtang'ang'ania huo ulafi wa kutaka mpate mapato yote ninyi bila kushirikisha wenzenu, basi kuweni tayari kulipa hiyo fee wala masilalamike.
Njia nyingine mbadala ni kuanzisha sister tour operator company ambazo zitakuwa na makao Tz ambazo mtafanya nazo kazi kwa kufuata mfumo nilioueleza hapo juu.
Otherwise, lipeni tu hiyo fee muendelee na biashara zenu bila matatizo.

Huu ndio unafiki tunaozungumzia haswa tukitambua kuna wa tanzania tour operators wanotoka kule Dar au Tanga na holiday destinations wakiingia kenya na watalii wao na pia kuna tour agents kutoka tanzania wanawasili na mini shuttle buses katika viwanja vya ndege vya Kenyatta NBI moi MSA wakichukua watalii destined for TZ. Unatupatia nafasi hata sisi tujikakamue kuwafrustrate tanzanian tour operators. Au unapozungumza hauna data kuwa kuna TZ tour operators wanaingia huku na wao pia hulalamika kuhusu shughuli za officers wenu katika mpaka.

Hebu nielimishe, what do you do in such a scenario? Sababu nimegundua wanaoleta hoja kama hizi kawaida muko stationed either manyumbani au kwenye workplaces. Hamujui linalotandeka on the ground. Nadhani dawa yenu ni Gok ijenge the propsed taveta airport, ndio tutachukua hiyo advise ya kuwaletea watalii kwenye mpaka wenu muwatoze dola 500 vile munafikiria halafu tuone kama kuna yeyote atarudi.
 
Watanzania wangapi afford dstv? Watch NTV Uganda includes lots of local Uganda stuff. NTV Tanzania would certainly be welcome alternative to the mediocre TBC.

Soma post yangu vizuri. Tanzania is switching off analogue 31/12/2012 to be precise. Na kama TBC ni mediocre ni jukumu la Kenya kuiborosha?

Pili, naamini unafahamu a thing or two about digital. NTV wanaweza kutangaza through the existing multiplexors arrangement. Na hata Kenya wako kwenye mpango wa ku-swith off analougue but it will take longer kwa sababu hizo licences (za analogue) zina maslahi ya wakubwa.
 
Why don't they charge the same for bring fairness in the spirit of EA? kwa sababu hapa suala ni which park is selling the most n whether deserves to be a cheap destination! They know the answer Tanzania does not need package deals cause can complement on itself on the back of being the most safest destination in the EA at the moment, so they better watch out on what they wish....
 
FJM said:


Tanzania is going digital. If NTV is looking for an analogue licence then nothing will happen. Citizen inapatikana through DSTV, can NTV do the same?
Watanzania wangapi afford dstv? Watch NTV Uganda includes lots of local Uganda stuff. NTV Tanzania would certainly be welcome alternative to the mediocre TBC.
Hivi unaelewa kitu kinachozungumziwa? digital migration/analogue switch off?:)
 
Chalii hiyo hela mbona ndogo sana!!! halafu sisi huku tuna magari pia washuke wapande yetu acheni kutuuzia mbuzi kwenye gunia kwani huu umoja ni kukandamizana au kusaidiana? Halafu tunao wengi huku kwenye makampuni yetu tunawapangia muda wa kuwashughuulikia sema ni serikali legelege ndio maana wanaendelea ku-exist
 
Chalii hiyo hela mbona ndogo sana!!! halafu sisi huku tuna magari pia washuke wapande yetu acheni kutuuzia mbuzi kwenye gunia kwani huu umoja ni kukandamizana au kusaidiana? Halafu tunao wengi huku kwenye makampuni yetu tunawapangia muda wa kuwashughuulikia sema ni serikali legelege ndio maana wanaendelea ku-exist

this is a constricted set of thinking, why should Tourists exchange vehicles at the border? Have u learnt of hospitability esp with the fragile tourism sector where luxury is advocated? By doing what you are advocating the Mara and Serengeti will lose popularity, cost of business will hit the rooftop both for the Kenyan and Tanzania tour operators. Possibly the tourists to EA will dwindle. About industries, your govt has no say. by virtue of being the second biggest investor comes with its own set of immunities. it will be in bad taste for your govt to follow your advise, whether CCM or CHADEMA your business plan doesnt score.
 
Soma post yangu vizuri. Tanzania is switching off analogue 31/12/2012 to be precise. Na kama TBC ni mediocre ni jukumu la Kenya kuiborosha?

Pili, naamini unafahamu a thing or two about digital. NTV wanaweza kutangaza through the existing multiplexors arrangement. Na hata Kenya wako kwenye mpango wa ku-swith off analougue but it will take longer kwa sababu hizo licences (za analogue) zina maslahi ya wakubwa.

FJM,
Kenya and to be precise Nairobi is already on Digital signal, if you have a digital set you are good to go. Service to be rolled out countrywide with expected 60% coverage of the entire country by jan next year. If NTV wants to open shop in Tz, it probably is aware of the challenges and analogue/digital thing isnt an excuse for locking them out.
 
Back
Top Bottom