Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Wakuu,
Hivi majuzi serikali ya Uingereza iliamua kusitisha misaada/mikopo iliokua
ikitumiwa katika elimu ya bure na serikali ya Kenya (imekua ikijisifia
sana). Chanzo haswa cha sababu hii ni kwamba kuna vigogo fulani ndani
ya Wizara ya elimu ambao walikua wanaiba hizo hela ambazo target yake ilikua ni kuwasaidia vijana wa kikenya katika maswala ya kusakanya elimu.
Ishu hii imeleta kelele katika siasa za Kenya na watu wanamshikia bango
waziri wa Elimu na katibu wake wa kudumu waeleze ilikuakuaje mpaka
mamilioni ya hela yakapotea bila watu kujua...la sivyo wajiuzulu. Hata
hivyo kama ilivyo kawaida ya hawa mabwanyenye/mabepari, jamaa
wanajitia eti wameuchuna tu hawasikii wananchi wanavyosema. Kisha
wakinyimwa viza za kusafiri ulaya kula hizi hela wanakimbilia msemo eti
"Kenya is a sovreign nation that cannot be dictated to". Hela yenyewe ni
ya kusiaidiwa kisha mnaanza uwizi wenu wa kihuni!!! Hii serikali inaudhi na
kutia kichefuchefu kila kukicha jamani.
Rais Kibaki naye kama ilivyokawaida yake kauchuna tu anawacha maji
maji yaende mkondo wake mpaka pale mambo yatakapoharibika. Afu unashangaa kwa nini hawa jamaa wanakimbilia EAC kwa ari na kwao kunanuka kiasi hiki..Gaademm!
Kweli Kenya kazi ipo.
A confidential report prepared by Finance ministry reveals that the Kenyan taxpayer and donors supporting education programmes sunk Sh178 million into a hole run by a well-oiled network of senior ministry officials and school teachers.
However, independent investigations indicate that the sums lost run into billions of shillings.
Losses detected
The Finance ministry report entitled: "In-depth Risk Based Fiduciary Review, Kenya Education Sector Support Project", covers only losses detected in May and June this year, and October last year.
It covered 187 institutions as follows: primary 96, secondary 68, technical colleges 11, special schools 12.
This is a far cry from the actual number of the country's public educational institutions comprising 20,000 primary, 4,000 secondary, 37 technical training institutions, and 116 special learning centres.
During those three months, the government and donors lost Sh103 million in the form of imprest given to senior education officials for activities that never took place.
In total, 17 senior officials and seven district education officers have been suspended over the sleaze, according to Education minister Sam Ongeri.
Some of the top officials mentioned adversely in the report with regard to the questionable dealings are acting director of secondary education, Mrs C. Ondiek, deputy directors Patrick Aghan, Martin Orwa and E.M. Magwa, senior education officers Kenneth Kabetu, Salome Yatich, Mutuaru Mukindia, Benson Kahara, Petty Kimweli, Omusonga Okwach, and Fredrick Odhiambo.
Others are assistant director of education Francis Kimosop, senior quality assurance officer Thomas Omuga, district education officer Ann Shiundu, senior clerical officer Nyaga Muthuri and ICT officer Paul Odhiambo.
Also mentioned are assistant accountant John Mbogo, and a secretary, Ms Dorothy Ndia, among others.
Another Sh75 million was lost through roll-out of programmes undertaken through an initiative called Kenya Education Sector Support Programme.
Introduced in 2005, the programme gets funds pooled by donors to support Kenya Government backed education programmes. It seeks to eliminate duplication and misuse of funds.
But as investigations reveal, the programme provided a vehicle for siphoning funds.
http://www.nation.co.ke/News/-/1056/826874/-/vo5w9o/-/index.html
Hivi majuzi serikali ya Uingereza iliamua kusitisha misaada/mikopo iliokua
ikitumiwa katika elimu ya bure na serikali ya Kenya (imekua ikijisifia
sana). Chanzo haswa cha sababu hii ni kwamba kuna vigogo fulani ndani
ya Wizara ya elimu ambao walikua wanaiba hizo hela ambazo target yake ilikua ni kuwasaidia vijana wa kikenya katika maswala ya kusakanya elimu.
Ishu hii imeleta kelele katika siasa za Kenya na watu wanamshikia bango
waziri wa Elimu na katibu wake wa kudumu waeleze ilikuakuaje mpaka
mamilioni ya hela yakapotea bila watu kujua...la sivyo wajiuzulu. Hata
hivyo kama ilivyo kawaida ya hawa mabwanyenye/mabepari, jamaa
wanajitia eti wameuchuna tu hawasikii wananchi wanavyosema. Kisha
wakinyimwa viza za kusafiri ulaya kula hizi hela wanakimbilia msemo eti
"Kenya is a sovreign nation that cannot be dictated to". Hela yenyewe ni
ya kusiaidiwa kisha mnaanza uwizi wenu wa kihuni!!! Hii serikali inaudhi na
kutia kichefuchefu kila kukicha jamani.
Rais Kibaki naye kama ilivyokawaida yake kauchuna tu anawacha maji
maji yaende mkondo wake mpaka pale mambo yatakapoharibika. Afu unashangaa kwa nini hawa jamaa wanakimbilia EAC kwa ari na kwao kunanuka kiasi hiki..Gaademm!
Kweli Kenya kazi ipo.
Exposed: How officials looted schools' millions
By DAVID ADUDA
The full details of the millions of shillings lost through dubious activities at the Education Ministry can be revealed.
A confidential report prepared by Finance ministry reveals that the Kenyan taxpayer and donors supporting education programmes sunk Sh178 million into a hole run by a well-oiled network of senior ministry officials and school teachers.
However, independent investigations indicate that the sums lost run into billions of shillings.
Losses detected
The Finance ministry report entitled: "In-depth Risk Based Fiduciary Review, Kenya Education Sector Support Project", covers only losses detected in May and June this year, and October last year.
It covered 187 institutions as follows: primary 96, secondary 68, technical colleges 11, special schools 12.
This is a far cry from the actual number of the country's public educational institutions comprising 20,000 primary, 4,000 secondary, 37 technical training institutions, and 116 special learning centres.
During those three months, the government and donors lost Sh103 million in the form of imprest given to senior education officials for activities that never took place.
In total, 17 senior officials and seven district education officers have been suspended over the sleaze, according to Education minister Sam Ongeri.
Some of the top officials mentioned adversely in the report with regard to the questionable dealings are acting director of secondary education, Mrs C. Ondiek, deputy directors Patrick Aghan, Martin Orwa and E.M. Magwa, senior education officers Kenneth Kabetu, Salome Yatich, Mutuaru Mukindia, Benson Kahara, Petty Kimweli, Omusonga Okwach, and Fredrick Odhiambo.
Others are assistant director of education Francis Kimosop, senior quality assurance officer Thomas Omuga, district education officer Ann Shiundu, senior clerical officer Nyaga Muthuri and ICT officer Paul Odhiambo.
Also mentioned are assistant accountant John Mbogo, and a secretary, Ms Dorothy Ndia, among others.
Another Sh75 million was lost through roll-out of programmes undertaken through an initiative called Kenya Education Sector Support Programme.
Introduced in 2005, the programme gets funds pooled by donors to support Kenya Government backed education programmes. It seeks to eliminate duplication and misuse of funds.
But as investigations reveal, the programme provided a vehicle for siphoning funds.
http://www.nation.co.ke/News/-/1056/826874/-/vo5w9o/-/index.html