Kenya: Taifa dhaifu linaloitamani Tanzania

Kenya: Taifa dhaifu linaloitamani Tanzania

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,931
Reaction score
4,549
Ndugu zangu kwa yeyote ambaye amewahi kuishi Kenya hawezi kupingana nami kuwa nchi hiyo ina maisha magumu kuliko mataifa yote ya East africa, ukubwa wa uchumi wao ni currency na si maisha ya mtu mmoja mmoja, ardhi huwezi kupata kama wewe ni maskini tofauti na hapa kwetu ambako tunamiliki maelfu ya ardhi and yet we're bankrupted, Kenya kuna ukabila wa mauti.

Nairobi maisha ni magumu kuliko maelezo, Kenya huwezi kumuomba mtu hela ya kula tofauti na hapa kwetu ambako unakutana na mtu na humjui anakupa hata buku mbili ya msosi, Kenya usalama ni Ziro, kila mwezi utasikia alshabab waua police 20 Kenya.

Sisi hapa Tanzania hawatuwezi, miaka ya nyuma wasomali walivuka mpaka wakaingia Tanzania kufanya ugaidi, wakampiga risasi hadi OCD wa Loliondo, kilichowakuta hadi leo wamekoma, kifupi Kenya ni taifa dhaifu linalojaribu kujigamba in vain, ndio maana katika shirikisho la East africa walitamani sana wapate ardhi ya Tanzania lakini wakakwama, Kenya is a very weak nation.
 
Tena umenikumbusha jinsi wanajeshi wao walivyoiba pombe supermarket wakati ule wa tukio la ugaidi![/QUOTE

Sababu maisha magumu, wakale wapi wanajeshi jamani na hiyo ndo ilikuwa nafasi yao
 
Tatizo lao bado wanadanganywa na namba za GDP wakati mkate wote mzungu anao mkononi kulisha falme alizotoka.
Ukigombana nao kwa kuwaambia tugawane ardhi wanayomiliki kupitia mirija ukoloni; kesho wataandika kuwa nchi maskini sana, corrupt na kila ghasia.
Nawasihi wakenya wawakomboe wananchi mmojax2 waone tofauti ya maisha ya familia iliyo na eneo la ku farm.
 

Attachments

  • 1416427477794.jpg
    1416427477794.jpg
    49.6 KB · Views: 231
Watanzania wengi bado hawajagundua jinsi ambavyo Tanzania ni nchi nzuri katika Africa yote na duniani. Tumedanganywa kwa ujinga wetu kuwa Tz ni nchi mbaya isiyo na chochote. Huu ni uwongo wa kitaalamu (brainwashing) inayofanywa kijanja sana ili kuwafanya watu waruke majivu na kukanyaga kaa la moto.

Nimezunguka na kuishi sehemu nyingi dunia ikiwa ni pamoja na Ulaya na America, lakini nawaambia Watz maisha hapa kwetu ni marahisi mara 70 kuliko nchi nyingu sana.

Kwa kweli siku hizi hakuna cha ajabu na cha msingi kilichopo Ulaya au Amerika ambacho hakipo Tanzania. Ukitumia akili yako vizuri utaishi maisha mazuri kuliko ya wazungu!

Material zote za kujenga nyumba nzuri kama zilizopo ulayA zipo hapa kwetu tena kwa bei ya kutupa ukilinganisha na ulaya. Nimeona magari yote ya kisasa yapo hapa kama yale ya ulaya, makomputa na mengineyo mengi. Najua ndio wengi watasema hela mbona hakuna. Hata ulaya mimi nimewapa ombaomba wengi tu pesa, maskini wapo kila mahali na Marekani pia utawasikia wakiomba "change please"!

Msidanganyike Watz wenzangu Tz ni nzuri mno! Unaweza kusavaivu hata kama ni maskini na ukamiliki ARDHI ambayo ndio chanzo cha umiliki mwingine wowote. Wenzetu hapo Kenya mnasema wameendelea? Nasema ni kitakwimu tu lakini wengi wao inabidi wafanye kazi mara 4 ya Mtanzania ili waweze kuishi maisha anayoishii mtanzania!

Acheni unyonge watz huu ndio ugonjwa mkubwa wa watz eti kwasabababu hawajasoma sana au hawaongei kimombo! Kiingereza ni kitu gani? Tusonge mbele kwa kujiamini nawaambia muda si muda Tz itakuwa kinara mbele ya mataifa mengi ya Africa. Na maendeleo hayo tofauti na nchi nyingi yatakuwa maendeleo ya wengi. MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE.
 
Una muda gani haujaenda kenya mkuu?
Binafsi nimetokeapo Jumamosi hii
Sisi kwa kenya bado sana aisee
Tusijifariji
 
Huu Ni Uchonganishi. Mi As A Tanzaniani KENYA wapo mbali sanaa...Tunasubiri
 
ni ukweli mtupu Bongo tuna kila kitu ila akili zimekalia kwenye MLANGO TAKA
 
Watanzania wengi bado hawajagundua jinsi ambavyo Tanzania ni nchi nzuri katika Africa yote na duniani. Tumedanganywa kwa ujinga wetu kuwa Tz ni nchi mbaya isiyo na chochote. Huu ni uwongo wa kitaalamu (brainwashing) inayofanywa kijanja sana ili kuwafanya watu waruke majivu na kukanyaga kaa la moto.

Nimezunguka na kuishi sehemu nyingi dunia ikiwa ni pamoja na Ulaya na America, lakini nawaambia Watz maisha hapa kwetu ni marahisi mara 70 kuliko nchi nyingu sana.

Kwa kweli siku hizi hakuna cha ajabu na cha msingi kilichopo Ulaya au Amerika ambacho hakipo Tanzania. Ukitumia akili yako vizuri utaishi maisha mazuri kuliko ya wazungu!

Material zote za kujenga nyumba nzuri kama zilizopo ulayA zipo hapa kwetu tena kwa bei ya kutupa ukilinganisha na ulaya. Nimeona magari yote ya kisasa yapo hapa kama yale ya ulaya, makomputa na mengineyo mengi. Najua ndio wengi watasema hela mbona hakuna. Hata ulaya mimi nimewapa ombaomba wengi tu pesa, maskini wapo kila mahali na Marekani pia utawasikia wakiomba "change please"!

Msidanganyike Watz wenzangu Tz ni nzuri mno! Unaweza kusavaivu hata kama ni maskini na ukamiliki ARDHI ambayo ndio chanzo cha umiliki mwingine wowote. Wenzetu hapo Kenya mnasema wameendelea? Nasema ni kitakwimu tu lakini wengi wao inabidi wafanye kazi mara 4 ya Mtanzania ili waweze kuishi maisha anayoishii mtanzania!

Acheni unyonge watz huu ndio ugonjwa mkubwa wa watz eti kwasabababu hawajasoma sana au hawaongei kimombo! Kiingereza ni kitu gani? Tusonge mbele kwa kujiamini nawaambia muda si muda Tz itakuwa kinara mbele ya mataifa mengi ya Africa. Na maendeleo hayo tofauti na nchi nyingi yatakuwa maendeleo ya wengi. MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE.

Kikubwa pia,tuikumbatie amani hii.
Naamini seeikali hii imetusaidia amani tangu kitambo and that's why niko imara na shupavu ktk kuitetea amani hii.

Wewe tafakari hili,Kenya wamebadilisha serikali,yena kwa damu na maumivu makali,but they still test the same bitterness,tena more worse.

Now you can join me in this,kubadilisha seeikali si kuleta mabadiliko.
NIDHAMU na MAADILI yetu,mimi,wewe na yule,ndiyo suluhisho la yote. Coz ukufikiria vinginevyo,utakosa muelekeo.

Tubadilike kwanza sisi coz ndio viongozi wa kesho. unless,hawa tunaowaita wezi na mafisadi wakitoka,nitaingia mimi na wewe. Tusipojipanga kimaadili,chain itaendelea vivyo hivyo. Business as usual.
 
Bongo elimu yetu na Lugha Pendwa vinatufanya tuwe Baridiii mbele ya Wakenya.
 
Ndugu zangu kwa yeyote ambaye amewahi kuishi kenya hawezi kupingana nami kuwa nchi hiyo ina maisha magumu kuliko mataifa yote ya East africa,ukubwa wa uchumi wao ni currency,na si maisha ya mtu mmoja mmoja,ardhi huwezi kupata kama wewe ni maskini tofauti na hapa kwetu ambako tunamiliki maelfu ya ardhi and yet we're bankrupted,kenya kuna ukabila wa mauti,nairobi maisha ni magumu kuliko maelezo,kenya huwezi kumuomba mtu hela ya kula tofauti na hapa kwetu ambako unakutana na mtu na humjui anakupa hata buku mbili ya msosi,kenya usalama ni ziro,kila mwezi utasikia alshabab waua police 20 kenya,sisi hapa Tanzania hawatuwezi,miaka ya nyuma wasomali walivuka mpaka wakaingia TZ kufanya ugaidi,wakampiga risasi hadi OCD wa Loliondo,kilichowakuta hadi leo wamekoma,kifupi kenya ni taifa dhaifu linalojaribu kujigamba in vain,ndo maana ktk shirikisho la East africa walitamani sana wapate ardhi ya TZ lakini wakakwama,2007 walipochinjana sisi ndo tukawapatanisha,kenya is a very weak nation.
Je, ukiwa maskini unaweza kupata ardhi Ujerumani kwa mfano?

Argument hiyo inakosa justification mkuu. Sababu ulizozitoa zina udhaifu mwingi
 
Watanzania wengi bado hawajagundua jinsi ambavyo Tanzania ni nchi nzuri katika Africa yote na duniani. Tumedanganywa kwa ujinga wetu kuwa Tz ni nchi mbaya isiyo na chochote. Huu ni uwongo wa kitaalamu (brainwashing) inayofanywa kijanja sana ili kuwafanya watu waruke majivu na kukanyaga kaa la moto.

Nimezunguka na kuishi sehemu nyingi dunia ikiwa ni pamoja na Ulaya na America, lakini nawaambia Watz maisha hapa kwetu ni marahisi mara 70 kuliko nchi nyingu sana.

Kwa kweli siku hizi hakuna cha ajabu na cha msingi kilichopo Ulaya au Amerika ambacho hakipo Tanzania. Ukitumia akili yako vizuri utaishi maisha mazuri kuliko ya wazungu!

Material zote za kujenga nyumba nzuri kama zilizopo ulayA zipo hapa kwetu tena kwa bei ya kutupa ukilinganisha na ulaya. Nimeona magari yote ya kisasa yapo hapa kama yale ya ulaya, makomputa na mengineyo mengi. Najua ndio wengi watasema hela mbona hakuna. Hata ulaya mimi nimewapa ombaomba wengi tu pesa, maskini wapo kila mahali na Marekani pia utawasikia wakiomba "change please"!

Msidanganyike Watz wenzangu Tz ni nzuri mno! Unaweza kusavaivu hata kama ni maskini na ukamiliki ARDHI ambayo ndio chanzo cha umiliki mwingine wowote. Wenzetu hapo Kenya mnasema wameendelea? Nasema ni kitakwimu tu lakini wengi wao inabidi wafanye kazi mara 4 ya Mtanzania ili waweze kuishi maisha anayoishii mtanzania!

Acheni unyonge watz huu ndio ugonjwa mkubwa wa watz eti kwasabababu hawajasoma sana au hawaongei kimombo! Kiingereza ni kitu gani? Tusonge mbele kwa kujiamini nawaambia muda si muda Tz itakuwa kinara mbele ya mataifa mengi ya Africa. Na maendeleo hayo tofauti na nchi nyingi yatakuwa maendeleo ya wengi. MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE.
Bwana fadhir kuna haja ya mi kukutafuta..
 
Back
Top Bottom