Kenya ni nchi ambayo kila siku kuna jambo la maajabu au la ucheshi linafanyika. Huyu kaka naye kajishonea suti ambalo trouser linafika kwenye makwapa.
Sema wewe ndio una roho mbaya.Ucheshi !! Sema Kenya ndo nchi pekee duniani yenye wendawazimu wengi , sasa hayo unaona ya uzima huyo mtu mwenyewe tu unamuona jinsi alivyo hamnazo