Madaktari wetu changamkieni fursa ya ajira Kenya

ng'ombo

JF-Expert Member
Dec 1, 2014
418
619
BRxo8YAAm0W.jpg
 
tatizo si kuchangamkia tatizo pia usalama wao! lkn kumbuka hata huku tunaupungufu!
 
Serikali ya bongo ni wajinga kishenz yaa shda ya madaktari tulo nayo hapa bongo wao ndio wana vizia mgomo wa ajira kupeleka watu kenya!?
Pumbav zao
 
Kwa Mimi siwezi kubali ndugu yangu aende huko wenyeji wamekataaa kazi we we ujipeleke sindo kuuliwa huko na serikali yetu inavyojua kukaaa kimya. Labda nihakikishiwe body guard wanne home na wakutembea nao
 
Kwa hali halisi ya usalama nchini Kenya kuelekea uchaguzi mkuu si vizuri kwa madaktari wetu kwenda kufanya kazi Kenya.
 
Je kati ya MADAKTARI toka Tanzania na south unafikiri ni wepi watakuwa na ufanisi na wale waliogoma kazi hawana au itakuwaje tena
 
Back
Top Bottom