MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,760
- 48,410
Hivi mama kayayii yupo
Yupo japo umri umemsakama...
Hivi mama kayayii yupo
mimi nilikua mpenzi sana wa vituko mahakamani,wale jamaa ni natural comediansYupo japo umri umemsakama...
Hawa wenzetu ukabila unawajeruhi sana..Ubinafsi
Nameless na kibao chake cha sinzia!, mpaka sasa huu wimbo naupendaDah umenikumbusha akina jua kali ,nameless,Avil, amani dah nilikuwaga nazikubali sana nyimbo za kenya
Iyo ngoma wacha bwana kuna wale jamaa wanaitwa sijui g unit waliimba wimbo wa sijampata mkaleeeNameless na kibao chake cha sinzia!, mpaka sasa huu wimbo naupenda