LangatKipro
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 359
- 438
yup, the basic idea is to make our kids better skilled than us.Safi sana, tunaachia watoto wetu nchi iliyoboreka, napenda kila hatua.
Hili Ni jukwaa la kenyaNi SGR train ya wapi hiyo?
Sikuulizia habari ya jukwaa ila ya treni.Hili Ni jukwaa la kenya
Ni SGR train ya wapi hiyo?
Ni SGR train ya wapi hiyo?
Nlikua nakupa hint, kwamba hili Ni jukwaa la habari za Kenya, kwahivyo ukiona kitu kinaongelewa bila kutajwa Ni wapi basi ujue Tu Ni Kenya.Sikuulizia habari ya jukwaa ila ya treni.
Ooo! Imeshaanza rasmi au hiyo niliyoona ni trial run?Ni ya Kenya mami, njoo tupate ride ya kwanza mimi na wewe tokea Nairobi hadi Mambasani kula madafu na kuogelea.
Mombasa kuna nini?Ooo! Imeshaanza rasmi au hiyo niliyoona ni trial run?
Mombasa lo, siendi huko, mimi nimezoea Kibosho Moshi au Sanawari Arusha. Asante kwa ofa lakini.
huyu haikosi mwanaume kajificha nyuma ya anonymity na kujifanya mwanamke...hata swali anazouliza...ina maana hajui treni hii iko wapi? haiya! wewe mpeleke mkaogelee baharini wanaume wawiliNi ya Kenya mami, njoo tupate ride ya kwanza mimi na wewe tokea Nairobi hadi Mambasani kula madafu na kuogelea.
Miji ya pwani naiogopa sana sijui kwa nini kwa kweli!Mombasa kuna nini?
isorait....hehe ina maana hupendi dar ama Mombasa tuMiji ya pwani naiogopa sana sijui kwa nini kwa kweli!
Dar ndio kabisaa. Sitaki hata kuisikia.isorait....hehe ina maana hupendi dar ama Mombasa tu
njoo Nairobi basiDar ndio kabisaa. Sitaki hata kuisikia.