Hii matapiko uliyomwaga hapa inaonyesha kuwa wewe ndio ulisomea ujinga katika st Kayumbe primary school.kama hamjui hata askari wenu wanawakubal jw na sio nyie tuu greatlakes hadi south of africa wote wanawakubal jw kwa kupika askar bora we ni nani had ubishe ?
bro kua serious ...we own u!! in every aspect except ufisadi tuu
we mwenyewe apo ulipo unataman ku visit bongo na hio inatosha kusibitisha umepost uharo hapa hivi huko kwenu hamuwezi kureason au shule mlienda kusomea ujinga?
Naona imepenya iyo cc250Hii matapiko uliyomwaga hapa inaonyesha kuwa wewe ndio ulisomea ujinga katika st Kayumbe primary school.
ushahara tena em kua na adabu na ukumbuke hii ni tz nchi yenye heshma yakipee world wide usifikiri hizo sifa anapewa kila mtuHii matapiko uliyomwaga hapa inaonyesha kuwa wewe ndio ulisomea ujinga katika st Kayumbe primary school.
Siku zote mwanafunzi anaye shika nafasi ya mwisho darasani huwa hana upizani .Hawa jamaa hawana ulinganifu hapa EAC
Sijaelewa, yaani hiyo ndio kama Tanzania tunaita National Service au?
Tanzania national service (JKT) wapo mbali wanajenga barabara, maghorofa, wanamiliki viwanda, mashamba makubwa, ufugaji mkubwa, shughuli za uvuvi, security company na mengine mengi, wapo kiuzalishaji zaidi
Nyie Nyau nyie!, hebu waulizeni wenzenu wa UGANDA tuliwafanya nini 1977-1978. Yaani pale waste gate militumia karibu siku 3 kuokoa watu afu mnataka kujifananisha na JWTZ.
hao hapo juu wanafanya maigizo au nini?
Bila ukakamavu huyo sio mwanajeshi au mpaka mzungu afanye ndio unaona sawa?Usiwalinganishe national youth service yetu na vitu vya kijinga...
NYS ni zaidi ya wale wavunja matofali wenuView attachment 1245068View attachment 1245069View attachment 1245070View attachment 1245071View attachment 1245072View attachment 1245073View attachment 1245074View attachment 1245075View attachment 1245076
Bila ukakamavu huyo sio mwanajeshi au mpaka mzungu afanye ndio unaona sawa?
Haya huyo hapo