Kenyan-Tanzanian
JF-Expert Member
- Nov 7, 2006
- 302
- 2
Source: Internal ODM tallying!
Nachukua fursa hii kuwaeleza kuwa Agwambo Raila Amolo Jaramogi Oginga Odinga ameshinda kiti cha Urais wa Kenya.
Nimetoka kuongea na Prof. Anyang Nyong'o sasa hivi. Yupo katika upbeat mood na tayari Kamati ndogo ya kuunda baraza lipya la Mawaziri imeteuliwa. Kalonzo ameshampigia simu Raila ya kuconcede defeat. Wanasubiri simu ya Kibaki ili watangaze matokeo.
ODM haiwezi kutoa matokeo yake kwa sasa kwa public kwani inaweza kuleta chaos maana wananchi wataingia barabarani. Wanasubiri Tume iamue. Wao tayari wamepokea matokeo ya nchi nzima na wameyahakiki usiku mzima wa jana na wameshinda.
Haya, ngoja mimi sasa nijisomee makabrasha yangu ya madini maana toka jana nilikua nafuatilia hili tu.
Ubarikiwe sana; ngoja na mimi nikaandike sasa, duh!
ZITO said:Source: Internal ODM tallying!
Nachukua fursa hii kuwaeleza kuwa Agwambo Raila Amolo Jaramogi Oginga Odinga ameshinda kiti cha Urais wa Kenya.
Nimetoka kuongea na Prof. Anyang Nyong'o sasa hivi. Yupo katika upbeat mood na tayari Kamati ndogo ya kuunda baraza lipya la Mawaziri imeteuliwa. Kalonzo ameshampigia simu Raila ya kuconcede defeat. Wanasubiri simu ya Kibaki ili watangaze matokeo.
ODM haiwezi kutoa matokeo yake kwa sasa kwa public kwani inaweza kuleta chaos maana wananchi wataingia barabarani. Wanasubiri Tume iamue. Wao tayari wamepokea matokeo ya nchi nzima na wameyahakiki usiku mzima wa jana na wameshinda.
Source: Internal ODM tallying!
Nachukua fursa hii kuwaeleza kuwa Agwambo Raila Amolo Jaramogi Oginga Odinga ameshinda kiti cha Urais wa Kenya.
Nimetoka kuongea na Prof. Anyang Nyong'o sasa hivi. Yupo katika upbeat mood na tayari Kamati ndogo ya kuunda baraza lipya la Mawaziri imeteuliwa. Kalonzo ameshampigia simu Raila ya kuconcede defeat. Wanasubiri simu ya Kibaki ili watangaze matokeo.
ODM haiwezi kutoa matokeo yake kwa sasa kwa public kwani inaweza kuleta chaos maana wananchi wataingia barabarani. Wanasubiri Tume iamue. Wao tayari wamepokea matokeo ya nchi nzima na wameyahakiki usiku mzima wa jana na wameshinda.
Haya, ngoja mimi sasa nijisomee makabrasha yangu ya madini maana toka jana nilikua nafuatilia hili tu.
Mh. Zitto(MB),
Heshima mbele, Tahadhari tu mheshimiwa!!! hili si jambo rahisi!!! JF nayo ni chombo kinaangaliwa duniani kote including Kenya,,, kwa hiyo kama ODM wanavyosubiri official results from ECK, na wewe ungevumilia kidogo kufanya hivyo... hili ni jambo tete!!! Kumbuka Zanzibar (Shariff na Komandoo) na DTV
hi wana jf.
kuna habari zisizopendeza, huko Mji wa Migori ni risasi tu mji mzima. nyumba za wakikuyu zinachomwa moto, magari ya wakurya nayo yanachomwa moto, watu wanauna coz wana KIbaki anaendelea kuiba kura. Eeee Mungu wasaidie wakenya bongo tumechoka kubeba wakimbizi!!!!