Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 780
- 1,831
🛑Klabu ya KenGold ya Chunya Imeripotiwa kuwa iimeachana na aliyekuwa kocha wake Mkuu Fikiri Elias kwa makubaliano ya pande zote mbili.
Ndio Kupigwa TenaLeo ken kapigwa tena?
Kapigwa ngapi?Ndio Kupigwa Tena
Huyo sio kocha wa premier league,ni kocha wa ndondo cup,kufukuzwa ni sawa🛑Klabu ya KenGold ya Chunya Imeripotiwa kuwa iimeachana na aliyekuwa kocha wake Mkuu Fikiri Elias kwa makubaliano ya pande zote mbili.