Kempeni ya say no; Ajibu for Simba

mmteule

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
5,504
12,829
Kwa Mashabiki, Wapenzi na Wakeleketwa wote wa Simba SC. Kwanza tujipongeze kwa Sapoti tuliyoipa timu yetu Mpaka kufikia hatua ya ROBO FAINALI, ni matumaini yangu kwamba SIMBA itaunguruma mbele ya TP MAZEMBE pia.

Binafsi nimefedheheshwa sana na Kampeni ya kumrudisha Ajibu ndani ya Simba SC. AJIBU hana nafasi tena ndani ya Mioyo yetu, kwa kifupi alitutenda sana na sasa hatumtaki Kikosini kwetu. Ajibu ni VIRUS kabisa na hivyo hana chembe hata ya kufikiriwa kurudi Msimbazi.

Alitudharau sana kiasi cha Kufika mazoezini na Sare za Churra, Hana Morali ya kuisaidia timu inapoelemewa, sio mvumilivu wakati wa Ukata lkn kikubwa hana Mapenzi na Timu ya Simba.

Tunajua Msemaji wetu Hajj Manara unamhusudu sana Swaibba wako Ajibu lkn by the time, Wanasimba wote tuungane kusema AJIBU NOT FOR SIMBA SC

Mwacheni huko huko Madimbwini aendeleee kula Ugali na Bamia akili imkae sawa.
 
Ajibu ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ila kwa mtazamo wangu sidhani kama anahitajika simba kwa sasa simba inahitaji wachezaji wapambanaji, wenye kujua kujitoa ambao wenye kuelewa thamani yao na thamani ya timu, wenye kujitambua kifupi niwale professional halisi..

Mengine tumuachie kocha, kama ni kocha anamuhitaji sina neno ila kama ni manara ndio anampigia chapuo huo ni ujinga wa kiwango cha SGR.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahaa,sawa,,ila kwenye Mpira hakuna uadui wa kudumu,,

Kama tukiona simba anatufaa na uwezo anao basi akuje tu..

Lkn kama uwezo anao na anatufaa na simba tukaweka mbele uswahili na fitna basi asije,,

Ili mradi swala lake lisilete mgawanyiko na mpasuk kwenye timu
 
Kwani wewe ndiyo umeshika fuko LA usajili? Au wewe ni part ya technical bench. Kama hivyo vyote hauna uhusika wowote, ni vema ukakaa kimya. We Fanya kazi ya kushangilia tu, hayo mengine waachie wenye nafasi na uwezo wao.
 
Kwani wewe ndiyo umeshika fuko LA usajili? Au wewe ni part ya technical bench. Kama hivyo vyote hauna uhusika wowote, ni vema ukakaa kimya. We Fanya kazi ya kushangilia tu, hayo mengine waachie wenye nafasi na uwezo wao.
Mkuuu wewe Yanga au maaana unavotoa povu si mchezo
 
ajibu kazi yake ni mpira huo upumbavu wa mpenzi sijui kuvumilia ukata ni akili za kimaskini.

ingekuwa hivyo basi wachezaji timu ndogo wangekuwa hawahami timu zao pindi wakihitajika na timu zenye fedha

akili yako na mrisho ngasa zinafanana badala atengeneze maisha yake kupitia timu kubwa eti unarudi yanga kwa sababu ya upenzi ujinga mkubwa.

wewe nae unatoa ushauri wa kumkata ajibu vp? kama imeonekana mchango wake ni muhimu vp wakimchukua unaacha kushangilia hao nyau fc?

acha akili za kimaskini
 
Kwa sasa Ajibu hana hadhi au kiwango cha kuichezea simba
Ajibu ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ila kwa mtazamo wangu sidhani kama anahitajika simba kwa sasa simba inahitaji wachezaji wapambanaji, wenye kujua kujitoa ambao wenye kuelewa thamani yao na thamani ya timu, wenye kujitambua kifupi niwale professional halisi..

Mengine tumuachie kocha, kama ni kocha anamuhitaji sina neno ila kama ni manara ndio anampigia chapuo huo ni ujinga wa kiwango cha SGR.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjinga hufikiri kila mtu ni mjinga, mpumbavu vile vile hufikiri watu wote ni wapumbavu, ni maskini tu anafikiri wengine wote ni matajiri
 
Sidhani kama Ajib anahitajika Simba kwa sasa,hizo ni story tu,atamweka nani benchi?
 
Ajibu alicheza Simba ya mfumo tofauti kiuongozi na kimchezo.

Kwa Simba ya sasa ni vizuri ijiridhishe kuwa wachezaji waliopo wameanza kutambua maana ya kuwa quasi-professional. Principally, Ajibu alionekana kama amebadilika sana alipoenda Yanga hasa kinidhamu, kama alivo maintain performance kwa muda mpaka hapa karibuni. Inashangaza amekorofishana nini na Yanga zinaanza tena stori za kwenda Simba.

Simba ya sasa inaanza kuwa na culture ya kimataifa. Kama anarudi Simba, wana intelijensia wahakikishe yeye na mswahiba wake waliobaki Simba, hawawezi kuanzisha vimambo mambo vya kuturudisha nyuma.

My suspicion is that, Yanga wamekata tamaa naye kwa kuwa walitegemea angeifunga Simba ili iwe scandal kubwa. Kwa kuwa imeshindikana, hawaoni umuhimu wake sana.

Simba inaweza kumpokea kama watajiridhisha kuwa ana moyo wa dhati kuchezea Simba. Umri unaruhusu kuipa mafanikio. Aliwahi kuondoka Mambosasa, kabla ya ligi ya klabu bingwa tukacheza mpaka raundi ya tatu ndiyo akarudi, tunacheza na mabingwa watetezi: Accra Hearts of Oak, akafanya maajabu tukaenda mpaka semi-final.

Aliendelea kuisumbua Simba, On and Off, lakini enzi hizo walikuwepo watemi kwenye timu kina Jumanne Masumenti (De Nascimento), ndiyo walikuwa wanammudu.

Alidumu Simba, na Nigeria Afcon alikuwepo na aliendelea kuwa karibu na Simba maisha yake yote. Naamini hiyo inaweza kuchukuliwa kama vitu vya kupita tu, apokelewe tena, kama kweli Ajibu ni mpezi hasa wa Simba.
 
Hapo mkuu hakuna povu ila ni matter of fact, unajua Mpira ni biashara, na suala LA kuhama timu ni kitu cha kawaida tu duniani kote, kama benchi la ufundi likimtaka Ajibu mleta mada hana ubavu wa kumkataa, na Ajibu bila akihitajika Simba nadhani hakuna kizuizi maana kwanza mkataba wake na timu yake ya sasa unafika ukingoni. Suala LA maslahi kwa mchezaji na suala LA kiufundi kwa Timu ndivyo vinadiktate ktk usajili wa timu yoyote. Hivyo basi kama bench LA ufundi likimuhitaji Ajibu, naye akaridhika na kitachoingia mfukoni mwake wewe utabaki kumshangilia tu Ajibu hakuna kingine unachoweza Fanya kama shabiki.
Mkuuu wewe Yanga au maaana unavotoa povu si mchezo
 
Ikiwa ni hitaji la kocha hakuna wa kuzuia... Ajibu yuko vzr japo atakaa benchi sambamba na Salamba ukizingatia idadi ya wachezaji wa kigeni kama inatupungua hv.
Yote kwa yote msimu ujao simba ifanye usajili bora kuongeza nguvu ndani ya timu.
 
Back
Top Bottom