Sawia.Nafasi yake apewe Manara!
Sawia.Nafasi yake apewe Manara!
Wabunge gani ?ninachokumbuka Lipumba aliwafukuza uanachama wabunge wa viti maalum wasio muunga mkono ,akateua wengine,baadae wale waliofukuzwa wakaenda mahakamani kufanya pingamizi ,lakini spika akapotezea ,labda tuambie wewe wabunge gani walifukuzwa,usisahau kunitaka radhi kwa kunibagaza pale mwanzo kabisaHukumbuki wabunge wa CUF waliofukuzwa chama na wakaendelea kuwa wabunge kwa sauti ya spika?