Keep your nonsense to yourself

wamekufanya nini ShesRise_1
Kuna kijana alishiba asubuh sana akafungua uzi akisema kile anachoita hisia zake sijui ananipenda sijui nini
Halaf analezea kama tayali tunafahamiana

Amenikwaza yaan ufungue uzi kuelezea ujinga namna hiyo na unanitag

Napenda utani ila sio kufunguliana nyuzi na mtu hata simjui tuishie kwenye comment baasii
 
Ah!! Sema achana nao watu wa humu si unawajua ndivyo walivyo.
 
Keeping such things can cause ma memory full, we trash em up n share with u, maan mna memory kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…