Kazini hakuna urafiki wala undugu

Kazini hakuna urafiki wala undugu

Mayunga234

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2017
Posts
1,725
Reaction score
2,005
Ukae ukijua kazini hakuna RAFIKI (MARAFIKI) kila mmoja yupo kwaajili ya kupambania tumbo lake na mafanikio yake binafsi

RAFIKI ni neno lenye herufi 6 tu lakini ni hatari sana

Ukiwa kazini jipambanie wewe na njaa zako na sio kuendekesha urafiki makazini




mayunga234
 
Kuna kampuni moja ya wahindi kuna bosi mmoja aliwachanganya marafiki pasipo kujijua
Ishu ilikuwa hivi bosi alimwita mmoja wa hao marafiki akamwambia nimesikia rafiki yako ni mwizi akamuomba mchunguze kwa malipo ya 50000,ila asimwambie rafiki yake jamaa kwa tamaa akakubali akasepa,
Kesho yake yule bosi muhindi akamwita yule rafiki mwingine aliyemtuhumu kuwa ni mwizi,kama kawaida muhindi akampanga jamaa akamwambia Ohh nimesikia Rafiki yako kuwa anatabia ya udokozi kama VP naomba umchunguze ila usimwambie, nitakulipa 50000,basi jamaa nae akakubali 😁
Kilichotokea marafiki wawili wanapelelezana pasipo wenyewe kujijua ilikuwa full kupelekeana umbea kwa bosi mwisho wa siku wamekuja kustukia wanachezewa mchezo na kazi wakapigwa chini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom