C Com nyakipambo Member Apr 30, 2013 68 3 Nov 28, 2014 #1 anatafutwa store keeper anaeishi Kibaha aliyesoma masuala ya store keeper, kama uko tayar funguka
Kaudunde Kautwange JF-Expert Member Nov 15, 2011 1,600 1,569 Nov 28, 2014 #4 Mi niko tayari! Bt kamilisha basi tangazo lako! Level ya elimu, mode of application, na mengineyo!
M mwana mpendwa Senior Member Oct 6, 2012 171 20 Nov 28, 2014 #6 Kuna mdogo wangu, Ila anakaa mbezi ya kimara, kama inafaa tuongee private mkuu 0712162678
C Com nyakipambo Member Apr 30, 2013 68 3 Nov 29, 2014 Thread starter #7 mwana mpendwa said: Kuna mdogo wangu, Ila anakaa mbezi ya kimara, kama inafaa tuongee private mkuu 0712162678 Click to expand... Ngoja niwaulize kama wanaweza pokea hata wa jiran ingawa wamesisitiza ni Kibaha tu, then ntakujuzen,
mwana mpendwa said: Kuna mdogo wangu, Ila anakaa mbezi ya kimara, kama inafaa tuongee private mkuu 0712162678 Click to expand... Ngoja niwaulize kama wanaweza pokea hata wa jiran ingawa wamesisitiza ni Kibaha tu, then ntakujuzen,
M mwana mpendwa Senior Member Oct 6, 2012 171 20 Nov 29, 2014 #9 Com nyakipambo said: Ngoja niwaulize kama wanaweza pokea hata wa jiran ingawa wamesisitiza ni Kibaha tu, then ntakujuzen, Click to expand... Sawa mkuu amesoma foundation stage I &II na NABE I &II na uzoefu usiopungua mwaka mmoja
Com nyakipambo said: Ngoja niwaulize kama wanaweza pokea hata wa jiran ingawa wamesisitiza ni Kibaha tu, then ntakujuzen, Click to expand... Sawa mkuu amesoma foundation stage I &II na NABE I &II na uzoefu usiopungua mwaka mmoja
C Com nyakipambo Member Apr 30, 2013 68 3 Dec 1, 2014 Thread starter #10 Tky said: 0759720291 naomba 2wasiliane sifa nnazo. Click to expand... upo Kibaha? Na umesomea store keeper? If yes nijib n Ajira ya Serikalin na ya kudumu
Tky said: 0759720291 naomba 2wasiliane sifa nnazo. Click to expand... upo Kibaha? Na umesomea store keeper? If yes nijib n Ajira ya Serikalin na ya kudumu
C Com nyakipambo Member Apr 30, 2013 68 3 Dec 1, 2014 Thread starter #12 ndewiya said: Mm nipo kibaha nina Ba chela ya utawala Click to expand... wanataka m2 aliyesoma store keeper, if hawajapata m2 wa store watamfikiria kidogo aliyesomea librarian
ndewiya said: Mm nipo kibaha nina Ba chela ya utawala Click to expand... wanataka m2 aliyesoma store keeper, if hawajapata m2 wa store watamfikiria kidogo aliyesomea librarian
Tky JF-Expert Member Oct 1, 2012 439 140 Dec 1, 2014 #13 Com nyakipambo said: upo Kibaha? Na umesomea store keeper? If yes nijib n Ajira ya Serikalin na ya kudumu Click to expand... Nitafute kwa mawasiliano zaidi nimesoma maswala ya warehouse management na npo mbezi, na kama kazi inamtaka mtu awe karibu na warehouse npo tayari muda wowote kuhamia kibaha. Mawasiliano yang 0759720291
Com nyakipambo said: upo Kibaha? Na umesomea store keeper? If yes nijib n Ajira ya Serikalin na ya kudumu Click to expand... Nitafute kwa mawasiliano zaidi nimesoma maswala ya warehouse management na npo mbezi, na kama kazi inamtaka mtu awe karibu na warehouse npo tayari muda wowote kuhamia kibaha. Mawasiliano yang 0759720291