Wenzetu hawachagui kazi alimladi wasiibe cha mtu, siyo sisi wabongo tunanata wakati hatuna lolote wakati jamaa hapo unakuta ana madigree yake kibao hapo
hiyo ya kwanza siiamini,lazima amevaa mikanda ikafutwa na photoshop,hakuna kampuni inayofanya project kubwa kama hii iruhusu wafanyakazi wake wafanya kazi ktk mazingira kama ya huyo bwana.soamini.