nitazoea
Senior Member
- Mar 15, 2017
- 198
- 241
Salamu!
Baada ya harakati kuwa ngumu na maisha kuendelea kuwa magumu,nimeamua kwa moyo mmoja kwenda mgodini.Lengo kuu ni kutafuta mtaji wa kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji 2021/2022.
Naomba mwenye connections kwenye migodi ya shinyanga na Geita ili niweze kupata pakuanzia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya harakati kuwa ngumu na maisha kuendelea kuwa magumu,nimeamua kwa moyo mmoja kwenda mgodini.Lengo kuu ni kutafuta mtaji wa kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji 2021/2022.
Naomba mwenye connections kwenye migodi ya shinyanga na Geita ili niweze kupata pakuanzia.
Sent using Jamii Forums mobile app
