Kazi za migodini

Kazi za migodini

nitazoea

Senior Member
Joined
Mar 15, 2017
Posts
198
Reaction score
241
Salamu!
Baada ya harakati kuwa ngumu na maisha kuendelea kuwa magumu,nimeamua kwa moyo mmoja kwenda mgodini.Lengo kuu ni kutafuta mtaji wa kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji 2021/2022.
Naomba mwenye connections kwenye migodi ya shinyanga na Geita ili niweze kupata pakuanzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani migodi mikubwa mikubwa au unataka ukawe mchimbaji mdogo mdogo?

Kwa sababu kama migodi mikubwa lazima uwe na background ya kitu flani kama Mining Eng, Geologist, Mineral Processing Eng etc. Au labda dereva/operator’ wa yale madoza au dumper etc.

Otherwise nakushauri nenda tu huko huko kajimix na wachimbaji wadogo wadogo ila risk ipo pia si umesikia mashimo yamefukia mengi tu.

Kama muoga nenda surface mining kama Mwadui kwenye Diamond wale hawaingii chini wanachimba juu.

Dhahabu nyingi ni underground na tanzanite pia.
 
Yaani migodi mikubwa mikubwa au unataka ukawe mchimbaji mdogo mdogo?

Kwa sababu kama migodi mikubwa lazima uwe na background ya kitu flani kama Mining Eng, Geologist, Mineral Processing Eng etc. Au labda dereva/operator’ wa yale madoza au dumper etc.

Otherwise nakushauri nenda tu huko huko kajimix na wachimbaji wadogo wadogo ila risk ipo pia si umesikia mashimo yamefukia mengi tu.

Kama muoga nenda surface mining kama Mwadui kwenye Diamond wale hawaingii chini wanachimba juu.

Dhahabu nyingi ni underground na tanzanite pia.
Asante kwa ushauri mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu!
Baada ya harakati kuwa ngumu na maisha kuendelea kuwa magumu,nimeamua kwa moyo mmoja kwenda mgodini.Lengo kuu ni kutafuta mtaji wa kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji 2021/2022.
Naomba mwenye connections kwenye migodi ya shinyanga na Geita ili niweze kupata pakuanzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtafute DOTTO BITEKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu!
Baada ya harakati kuwa ngumu na maisha kuendelea kuwa magumu,nimeamua kwa moyo mmoja kwenda mgodini.Lengo kuu ni kutafuta mtaji wa kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji 2021/2022.
Naomba mwenye connections kwenye migodi ya shinyanga na Geita ili niweze kupata pakuanzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kama mgodi nenda maeneo ya mwadui, maganzo hapo shinyanga nenda kachimbe Diamond unaweza pata bahati bhana ukapata almasi. Hiyo ni target yangu naweka vitu sawa alafu najiachia pande hizo kwenye almasi
 
Back
Top Bottom