Kazi za ATCL

Kazi za ATCL

mysara2011

Member
Joined
Sep 28, 2017
Posts
69
Reaction score
84
Hivi jamani wapendwa kuna mtu aloitwa interview zile post za Sales and reservation za ATCL., Maana naona kimya kingi mnooo au ndo nishabwagwa?
 
Bora wangelikuwa wanaonyesha kwamba usipopata taarifa baada ya muda fulani ujue hukufanikiwa.
 
Shida sio kuwa success what I need to know ni kama kuna watu washaitwa .Ingawa nilipategemea sana cause nilikuwa na qualification zote walizohitaji.
Ulikua na qualification zote sio mkuu?

Huijui nchi hii vzr dada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom