blind fighter
Member
- May 17, 2021
- 85
- 128
Wakuu, mnaendeleaje humu? Naamini Mungu anaendelea kuwapigania.
Kuhusiana na mada tajwa hapo juu, natafuta kazi katika sekta ya IT. Nina ujuzi katika Linux Server Administration, Database Administration, Computer Networking, na misingi ya Usalama wa Mfumo (System Security Basics).
Ikiwa kuna mtu yeyote anayeweza kunisaidia au kunipa mwongozo kuhusu hili, nitashukuru sana.
Asante sana! 🙏
Nipo Dar Es Salaam,
Mawasiliano 0620224372
Kuhusiana na mada tajwa hapo juu, natafuta kazi katika sekta ya IT. Nina ujuzi katika Linux Server Administration, Database Administration, Computer Networking, na misingi ya Usalama wa Mfumo (System Security Basics).
Ikiwa kuna mtu yeyote anayeweza kunisaidia au kunipa mwongozo kuhusu hili, nitashukuru sana.
Asante sana! 🙏
Nipo Dar Es Salaam,
Mawasiliano 0620224372