Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 381
- 131
Mpishi wa shule anahitajika. Kazi ni kuwapikia wanafunzi. Mshahara ni Tsh.120,000/=
Shule ipo Ifakara Morogoro.
Mawasiliano: 0621538913
Shule ipo Ifakara Morogoro.
Mawasiliano: 0621538913
Big shame!
Acha utani.
[/QUOT hivi akikuibia unga maharage mafuta kujaziliIa mshahara ufike 350000 utalalamikaalike cheap is expensive always
Uko sawa. Nimeandika Bei ili Kila anayehitaji achague kusuka au kunyoa. Hakuna ulazima hapa. Asante.Duh kweli maisha magumu mshahara kama wa house girl mtu aungue na moto mwezi mzima halafu @4000 kwa siku.
Unataka watoto wa watu wale chakula kibichi.?
Nguvu zako tu mzee za kusonga ugali walao wa kula wanafunzi 100.Mkuu naitaji hiyo kazi nipo dsm ila sijasomea upishi
Nguvu zako tu mzee za kusonga ugali walao wa kula wanafunzi 100.
Mpishi wa shule anahitajika. Kazi ni kuwapikia wanafunzi. Mshahara ni Tsh.120,000/=
Shule ipo Ifakara Morogoro.
Mawasiliano: 0621538913
Tunao wawili mpaka Sasa. Tunahitaji kuongeza nguvuMkuu wapishi tunakua wengi inamaana tunashirikiana au ndiyo peke yako mpishi mmoja?
Kweli kutokana na vigezo vyao nguvu ya kusonga ugari, sehemu nyingine mshahara juu na vigezo vingi, cheti cha secondary, cheti cha upishi na uzoefu juu.Mshahara mkubwa kabisa huo kwa hiyo kazi. Sijui wanaolalamika walitaka mpishi alipwe kiasi gani
ni kweli broo mimi nilichekwa na mdogo wangu niliemtaftia kazi mimi kwa mshahara wa laki moja kulinda nyumba na kufanya usafi tegeta wazo mwaka mmoja uliopitaNyambafu!
Vitu vingine vinakera sana!!
Yaani mtu umekaa busy kuhoji "mshahara". Tena negatively....!!
Hivi kama umeona uwezi kufit, kwenye kiatu hiko cha mshahara....si upite kimya!! Au ukipita kimya, utapungua uzito..?!!
Na hii yote ni kipimo cha udhaifu wa kufikiria, unaokupelekea unaona kiasi hiko cha mshahara ni kidogo. Unashindwa kabisa kutambua kwamba, hata kutoka tu hapo nje.....itakulazimu kunyanyua mguu na kupiga hatua!!
Ila hilo moja, pili unashau kwamba tunatofautiana kwenye mambo mengi tu. Honest jinsi ulivyo wewe, sio jinsi nilivyo mimi, wala yule.....in short tupo so differ!
Sasa ya nini, tuanze kusemeana....if umeona haikufahi, put it pembeni, yupo mtu itakayomfaha.
Embu jamani imefika time, watanzania wenzangu tubadilike.....hizi tabia za kipuuzi puuzi, ndizo always zinatufanya tupige mark time kwenye hali zile zile, no development at all!!
Embu tuacheni hizi mambo jamani....sio vizuri.
ni kweli broo mimi nilichekwa na mdogo wangu niliemtaftia kazi mimi kwa mshahara wa laki moja kulinda nyumba na kufanya usafi tegeta wazo mwaka mmoja uliopita
unapokua na pakuanzia inakusaidia kupata michongo mingine unaweza kuanzakupika kumbe mbele proffesional yako ni ualimu ukajakiziba chanel ya taaluma yako
wengi wetu tunapenda mambo makubwa mbuyu ulianza kama mchicha
C umepewa namba apo mkuu, mcheki tuMkuu wapishi tunakua wengi inamaana tunashirikiana au ndiyo peke yako mpishi mmoja?