Kazi ya udereva inalipa!?

Pierre2017

Member
Apr 16, 2019
48
28
Habari zenu ndungu zangau!?me nina elimu ya kidato cha nne,nimekua natafuta profesional itakayonilipa na kubadilisha maisha yangu lakini ambayo itanisaidia kupata ajira bila usumbufu sanaaa,nimeona nafasi nyingi zinatangazwa za udereva hasa serikalini na mashirika binafsi km tanesco,tra,tpa na kwingine nimevutiwa na kazi hyo ya udereva lakn sina uhakika kma ni chaguo sahihi sana,ninajua kuendesha gari kawaida lkn sio compitent driver nifanyeje!?Nina lesen mwanzo nilisoma kuoperate mitambo ya barabaran na kuchimba madini lakin ajira imekua ngumu,..Nataka niswitch kwenye udereva,vigezo gani hasa vinatakiwa na chuo gan nikasome na kwa course ipi maana naskia kuna driving course mbali mbali!?vp kuhusu ajira na mishahara italipa kweli!??naombeni maon yenu ndugu zangu
 
Habari zenu ndungu zangau!?me nina elimu ya kidato cha nne,nimekua natafuta profesional itakayonilipa na kubadilisha maisha yangu lakini ambayo itanisaidia kupata ajira bila usumbufu sanaaa,nimeona nafasi nyingi zinatangazwa za udereva hasa serikalini na mashirika binafsi km tanesco,tra,tpa na kwingine nimevutiwa na kazi hyo ya udereva lakn sina uhakika kma ni chaguo sahihi sana,ninajua kuendesha gari kawaida lkn sio compitent driver nifanyeje!?Nina lesen mwanzo nilisoma kuoperate mitambo ya barabaran na kuchimba madini lakin ajira imekua ngumu,..Nataka niswitch kwenye udereva,vigezo gani hasa vinatakiwa na chuo gan nikasome na kwa course ipi maana naskia kuna driving course mbali mbali!?vp kuhusu ajira na mishahara italipa kweli!??naombeni maon yenu ndugu zangu

Inayolipa zaidi ni ile ya Udereva wa Maiti na Kuzisafirisha sehemu mbalimbali na Mji au Mikoani.
 
Habari zenu ndungu zangau!?me nina elimu ya kidato cha nne,nimekua natafuta profesional itakayonilipa na kubadilisha maisha yangu lakini ambayo itanisaidia kupata ajira bila usumbufu sanaaa,nimeona nafasi nyingi zinatangazwa za udereva hasa serikalini na mashirika binafsi km tanesco,tra,tpa na kwingine nimevutiwa na kazi hyo ya udereva lakn sina uhakika kma ni chaguo sahihi sana,ninajua kuendesha gari kawaida lkn sio compitent driver nifanyeje!?Nina lesen mwanzo nilisoma kuoperate mitambo ya barabaran na kuchimba madini lakin ajira imekua ngumu,..Nataka niswitch kwenye udereva,vigezo gani hasa vinatakiwa na chuo gan nikasome na kwa course ipi maana naskia kuna driving course mbali mbali!?vp kuhusu ajira na mishahara italipa kweli!??naombeni maon yenu ndugu zangu
Kasomee udereva NIT then omba kazi Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma au hata yale ya UN utaifurahia hiyo kazi.Kuwa dereva Serikalini asikwambie mtu Unakabidhiwa Shangingi,Landcruiser,Hilux wewe ndiyo unakuwa Msimamizi wa kila kitu kwenye gari.Japokuwa mshahara ni kiduchu lakini ukiwa dereva mzuri utatumika sana na kupiga hela za safari za kikazi tuu
 
Kasomee udereva NIT then omba kazi Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma au hata yale ya UN utaifurahia hiyo kazi.Kuwa dereva Serikalini asikwambie mtu Unakabidhiwa Shangingi,Landcruiser,Hilux wewe ndiyo unakuwa Msimamizi wa kila kitu kwenye gari.Japokuwa mshahara ni kiduchu lakini ukiwa dereva mzuri utatumika sana na kupiga hela za safari za kikazi tuu
Nataka nikasome psv badae kama ntakua na pesa nisome vip course nadhan nitakua tayar kuingia kweny soko la ajira
 
Mkuu mm nmesomea udereva na nna cheti cha form4 ila nakosa mtu wa kunipa chanel ya kazi em nisaidie nianzie wap
Kasomee udereva NIT then omba kazi Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma au hata yale ya UN utaifurahia hiyo kazi.Kuwa dereva Serikalini asikwambie mtu Unakabidhiwa Shangingi,Landcruiser,Hilux wewe ndiyo unakuwa Msimamizi wa kila kitu kwenye gari.Japokuwa mshahara ni kiduchu lakini ukiwa dereva mzuri utatumika sana na kupiga hela za safari za kikazi tuu
 
Mkuu mm nmesomea udereva na nna cheti cha form4 ila nakosa mtu wa kunipa chanel ya kazi em nisaidie nianzie wap
Well and good,pamoja na kusomea fani hiyo inabidi utafute uzoefu (experience).Hapa siyo lazima uajiriwe unaweza kutafuta madereva wakongwe kampuni tofauti tofauti ukaomba hata kuwa tingo.Baadaye unaandika CV(wasifu wako) ukieleza taaluma na uzoefu wa kazi yako KUMBUKA KUWEKA WADHAMINI (referees).
Kinachofuatia ni kuandaa barua za MAOMBI ya kazi sehemu tofauti (serikalini au sekta binafsi) na kuwasilisha sehemu husika.Kila la kheri.
 
Well and good,pamoja na kusomea fani hiyo inabidi utafute uzoefu (experience).Hapa siyo lazima uajiriwe unaweza kutafuta madereva wakongwe kampuni tofauti tofauti ukaomba hata kuwa tingo.Baadaye unaandika CV(wasifu wako) ukieleza taaluma na uzoefu wa kazi yako KUMBUKA KUWEKA WADHAMINI (referees).
Kinachofuatia ni kuandaa barua za MAOMBI ya kazi sehemu tofauti (serikalini au sekta binafsi) na kuwasilisha sehemu husika.Kila la kheri.
ahsante sana mkuu ntafanya ivyo maana uzoefu nnao wa kutosha tu nimefanya Kazi kwenye kampun na gar binafs fuso
 
ahsante sana mkuu ntafanya ivyo maana uzoefu nnao wa kutosha tu nimefanya Kazi kwenye kampun na gar binafs fuso
Kama unauzoefu Basi andaa CV yako nzuri chukua vyeti vyako vyote vitoe copy peleka wa wakili akupigie mhuri vyeti yako vyote baada ya hapo jisajili na ajira portal ingiza vyeti yako vyote humo baada ya hayo kuna link ya ajira Leo nitakutumia ya whatssup ambapo wanapost ajira kila kukicha naamini kupitia pale utapata pakuanzia endapo utaona post inayohusu udereva utapaswa kuingia ajira portal uandike barua pekee then uitume sababu vyeti na CV ulishajisajili navyo awali na hapo utasubiria majibu tu ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom