Kazi ya night shift dar es salaam

Prof_rutta22

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
50
Reaction score
27
Habari za mda huu waungwana mimi ni mkufunzi wa kujitolea katika moja ya chuo hapa mjini kwa mda wa mchana hivyo natafuta kazi ya kuniingizia kipato mda wa usiku ili kubalance maslah madogo ninayoyapata kwa sasa
Naomba ushirikiano wenu pale utakapopata au kuwa na kazi yoyote inayozingatia utu na maslah
Natanguliza shukran za dhati kwenu
mawasiliano: 0624576521
 
Una Idea nzuri kutumia muda wa ziada kujiingizia kipato.

Mungu atakujalia.

We ni Mtaaluma wa nini?
 
Bora uamue uache kimoja ubaki na kimoja yan acha iyo yakujitolea utafute kazi moja kwa moja ila kusema ufanye zote kwa pamoja hutoweza
 
All the best.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…