DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Wakizungumza leo Septemba 25, 2025 wakati wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan zilizofanyika mjini Lindi, baadhi ya wanawake wakazi wa Mkoa huo wamesema maendeleo yaliyopatikana katik kipindi cha Miaka minne (04) ya uongozi wa Dkt. Samia yangeweza kupatikana kwa miaka 40 ijayo.
Wameongeza kuwa, Tanzania ni Taifa la mfano duniani na ni kisima cha amani. Hivyo, vijana wanapaswa kujihadhari na propaganda zinazoenezwa mtandaoni zenye viashiria vya kuvuruga amani na utulivu uliopo.
Wameongeza kuwa, Tanzania ni Taifa la mfano duniani na ni kisima cha amani. Hivyo, vijana wanapaswa kujihadhari na propaganda zinazoenezwa mtandaoni zenye viashiria vya kuvuruga amani na utulivu uliopo.