Kazi ya kuosha magari

Kazi ya kuosha magari

Under30

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2017
Posts
218
Reaction score
645
Habari wakuu natafuta kijana anayejituma mdogo kwa ajili ya biashara ya kuosha magari

Awe anaishi Dar

Anajituma na muaminifu sana

Kazi nitamfundisha
 
Kwa kukusaidia kupata hao vijana ni bora ukaangalia huko mtaani kwako maana utakuwa unawajua vizuri. Ama tumia marafiki zako huenda kuna vijana wanawafaham wanao jituma vizuri. Ama angalia kwenye ukoo wako vijana ambao wapo tu wasaidie ipo siku watakushukuru. Kuliko kuja humu sidhani kama utafanikiwa humu. Ni mawazo tu

Na waje kwa kweli
 
Kwa kukusaidia kupata hao vijana ni bora ukaangalia huko mtaani kwako maana utakuwa unawajua vizuri. Ama tumia marafiki zako huenda kuna vijana wanawafaham wanao jituma vizuri. Ama angalia kwenye ukoo wako vijana ambao wapo tu wasaidie ipo siku watakushukuru. Kuliko kuja humu sidhani kama utafanikiwa humu. Ni mawazo tu
Niliwachukua wanyumbani na kuishi nao na ugali na wapa na nawalipa lakini mkuu kijiwe changu mimi kipo karibu na taifa ni pale ttc club lakini mpaka navyoandika hapa WAMELALA wako wawili alafu leo mechi ya simba kwa hiyo magari yanakuja mengi swala la kuwahi tushaalizungumza mpaka nimefikia kiwango cha mwisho,hawako siriaz

Natafuta mtu ambae hatujuani kazi kazi
 
Oooh kumbe mi nikaja ni Car wash mpya unatafuta vijana wa kazi. Kumbe ni umeisha ifungua kitambo basi kila lakheri.

niliwachukua wanyumbani na kuishi nao na ugali na wapa na nawalipa lakini mkuu kijiwe changu mimi kipo karibu na taifa ni pale ttc club lakini mpaka navyoandika hapa WAMELALA wako wawili alafu leo mechi ya simba kwa hiyo magari yanakuja mengi swala la kuwahi tushaalizungumza mpaka nimefikia kiwango cha mwisho,hawako siriaz,
Natafuta mtu ambae hatujuani kazi kazi
 
Mshahara Sh Ngapi Au Makubaliano Yakoje?Pa Kuoshea Wapi?Nina Kijana Wangu Nataka Nimpe Ni Anajituma Na Mtu Mzuri Hana Makeke Katulia,kuna Program Nlitaka Kumuajiri Ila Itachelewa Na Nlishampa Moyo Wa Kibarua,ni Mvulana Am Sure Hatokuangusha
Anafaa ila awe anajituma sana
 
Mshahara Sh Ngapi Au Makubaliano Yakoje?Pa Kuoshea Wapi?Nina Kijana Wangu Nataka Nimpe Ni Anajituma Na Mtu Mzuri Hana Makeke Katulia,kuna Program Nlitaka Kumuajiri Ila Itachelewa Na Nlishampa Moyo Wa Kibarua,ni Mvulana Am Sure Hatokuangusha
Ipo temeke,chang'ombe karibia na ttc club
Kuna njia ya kulipana
Ukiosha gari unapata chako hapo hapo.kama gari elf 7 unachukua elf mvili,kama elfu kumi unachukua elf 3 kama 20 unachukua elf 5,kuna pikipiki,bajaj na mazulia bei inategemeana,
Ana elimu gani?
 
Tatizo la vijana ni kuwa ukimpa sehemu ya kujipatia ridhiki yeye anawazia utajiri....matokeo yake ni kukuibia......
Siyo dhambi kua na vision.

Baunsa anayelinda mlangoni kwa siku atalipwa elfu 20, akilinda mechi ya Simba na Yanga makubaliano ni elfu 50 halafu hailipwi hata miezi itakatika.

Na mabaunsa hua wanakubali wakitegemea kua wakifika huko wataiba na waajiri hua wanabargain kwa bei hizo wakijua huyu mtu ataiba.

Akilipwa laki moja au laki na nusu atawaza kuiba?

Mlipe mwajiriwa wako vizuri muwekee mazingira ya kumuamini uone kama atakuibia.
 
Kwa kukusaidia kupata hao vijana ni bora ukaangalia huko mtaani kwako maana utakuwa unawajua vizuri. Ama tumia marafiki zako huenda kuna vijana wanawafaham wanao jituma vizuri. Ama angalia kwenye ukoo wako vijana ambao wapo tu wasaidie ipo siku watakushukuru. Kuliko kuja humu sidhani kama utafanikiwa humu. Ni mawazo tu
Labda ameshapata huko tayar ameona awezeshe na mtu mmoja humu ni ktk kugawana baraka tu, sio mbaya
 
Ipo temeke,chang'ombe karibia na ttc club
Kuna njia ya kulipana
Ukiosha gari unapata chako hapo hapo.kama gari elf 7 unachukua elf mvili,kama elfu kumi unachukua elf 3 kama 20 unachukua elf 5,kuna pikipiki,bajaj na mazulia bei inategemeana,
Ana elimu gani?
Uwezekano wa huyu mtu kua na pesa karibu au kumzidi mshahara graduate ni mkubwa. Hao ndugu zako bado maisha hayajawagusa vizuri halafu inaonekana mbeleko za kuwabeba zipo nyingi.
 
Ipo temeke,chang'ombe karibia na ttc club
Kuna njia ya kulipana
Ukiosha gari unapata chako hapo hapo.kama gari elf 7 unachukua elf mvili,kama elfu kumi unachukua elf 3 kama 20 unachukua elf 5,kuna pikipiki,bajaj na mazulia bei inategemeana,
Ana elimu gani?
Boss kwan hapo elim inahusikaje kwa mfano....?

Kwan iyo kazi mtu akielekezwa si anakuwa na uelewa wa kuifanya au inaitaji taaluma zaid...?
 
Labda ameshapata huko tayar ameona awezeshe na mtu mmoja humu ni ktk kugawana baraka tu, sio mbaya
yaani wewe umejaa busara mpaka umepitiliza,wewe ni version ya the boss,uongezewe mabusara yako
 
Back
Top Bottom