MADARAKA DANIEL
Member
- Oct 26, 2012
- 93
- 22
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26, ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika chuo kikuu cha Dar-es-salaam, nachukua bachelor of education in psychology.Dhumuni la kuandika uzi huu kwa wana jf ni kuomba support yenu kama kuna mtu ana tahasisi yoyote inayoshughulika na mambo ya jamii kama vile
Niko tayari kufanya kazi kwa kujitolea kwa wakati huu niko chuo kwa sababu katika muhula huu wa masomo sijabanwa sana na masomo, hivyo basi napenda kutumia muda wangu kuitumikia jamii ya watanzani.
KWA YEYOTE ANAYETAKA TUFANYE KAZI PAMOJA TUNAWEZA KUWASILIANA KUPITIA
0714303414 au marandudaniel@yahoo.com
- kushauri watu juu ya HIV/AIDs
- kuelimisha jamii kuhusu mambo afya ya uzazi na lishe bora
- kutoa huduma ya ushauri nasaha katika nyanja ya elimu hasa katika shule za sekondari na
Niko tayari kufanya kazi kwa kujitolea kwa wakati huu niko chuo kwa sababu katika muhula huu wa masomo sijabanwa sana na masomo, hivyo basi napenda kutumia muda wangu kuitumikia jamii ya watanzani.
KWA YEYOTE ANAYETAKA TUFANYE KAZI PAMOJA TUNAWEZA KUWASILIANA KUPITIA
0714303414 au marandudaniel@yahoo.com