Ukback255
Senior Member
- Aug 31, 2016
- 174
- 276
Wakuu kuna jamaa yangu yupo mtaani baada ya kufaulu vizuri form four dv 1 na kupata division 2 ya PGM then kumaliza chuo katika fani ya computer science lakini kulingana na changamoto ya Ajira yupo tu kajishikiza kwenye shule moja ya sekondari ya serikali anapiga temporary job.
Na kwa vile analipwa mshahara kidogo anaomba kama kuna shule inayoweza angalau kumlipa kiasi cha juu kuliko anacholipwa sasa .
Masomo anayofundisha ni Physics na Mathematics
Mkoa wowote Tanzania anaweza Fanya kazi ambapo kazi itapatikana.
Mtu yeyote ambaye anaweza kuwa na kazi hiyo ya kufundisha hasa kulingana na changamoto ya walimu wa masomo ya science anaombwa wawasiliane kwenye namba.
0787816477
Asante.
Na kwa vile analipwa mshahara kidogo anaomba kama kuna shule inayoweza angalau kumlipa kiasi cha juu kuliko anacholipwa sasa .
Masomo anayofundisha ni Physics na Mathematics
Mkoa wowote Tanzania anaweza Fanya kazi ambapo kazi itapatikana.
Mtu yeyote ambaye anaweza kuwa na kazi hiyo ya kufundisha hasa kulingana na changamoto ya walimu wa masomo ya science anaombwa wawasiliane kwenye namba.
0787816477
Asante.