Ngwathra
Platinum Member
- Jul 11, 2007
- 6,015
- 11,383
Heshima mbele wadau.
Naona kuna vijana wengi waliosomea kilimo na biashara wanahangaika kutafuta kazi kwa miaka mingi bila mafanikio. Nimeamua kuanzisha kazi ya kilimo mchanganyiko cha mboga mboga na natafuta vijana wa kujitolea 10 wenye taaluma ya kilimo na biashara wanaopenda kujiendeleza pamoja nami kwenye hili eneo. Watakaowahi watapewa nafasi ya kwanza hadi nafasi zitakapojaa.
Nina eka 20 za kuendelezwa zina maji ya kutosha kumwagilia, pampu zipo, umeme nk. Nitawapatia allowance ya kula na malazi, mbegu, madawa, usafiri na viwezeshi vyote vya kufanikisha kazi hii. Tutaweka malengo na kufanya teams za kufanya kazi hii kwa ushindani na baadaye wataajiriwa permanently on performance. Tuna mashamba makubwa mengine yanayoendelea sasa hivi na hili ni eneo jipya tunaloliwekeza.
Wanaofikiri wana sifa hizi na wanapenda kufanya na hatimaye kupata maisha yao kwa kilimo karibuni sana na tuma cv yako kwa bungufarm@yahoo.com
Naona kuna vijana wengi waliosomea kilimo na biashara wanahangaika kutafuta kazi kwa miaka mingi bila mafanikio. Nimeamua kuanzisha kazi ya kilimo mchanganyiko cha mboga mboga na natafuta vijana wa kujitolea 10 wenye taaluma ya kilimo na biashara wanaopenda kujiendeleza pamoja nami kwenye hili eneo. Watakaowahi watapewa nafasi ya kwanza hadi nafasi zitakapojaa.
Nina eka 20 za kuendelezwa zina maji ya kutosha kumwagilia, pampu zipo, umeme nk. Nitawapatia allowance ya kula na malazi, mbegu, madawa, usafiri na viwezeshi vyote vya kufanikisha kazi hii. Tutaweka malengo na kufanya teams za kufanya kazi hii kwa ushindani na baadaye wataajiriwa permanently on performance. Tuna mashamba makubwa mengine yanayoendelea sasa hivi na hili ni eneo jipya tunaloliwekeza.
Wanaofikiri wana sifa hizi na wanapenda kufanya na hatimaye kupata maisha yao kwa kilimo karibuni sana na tuma cv yako kwa bungufarm@yahoo.com