Habar zenu wanajamv, kama kichwa cha habar kinavyojieleza. Nataka mtu wa kutoa dawa , duka lipo kigambon Dar es salaam, sehemu inayoitwa TUNDWI SONGANI
Duka ni jipya, hivyo ukija ni kama tunaanza.
Sifa: Uwe umesomea utoaji wa dawa
Mwaminifu
Mchamungu
Umri kuanzia 20 na kuendelea.
Kwa mawasiliano zaid, wasiliana na namba zifuatazo, 0657911852
0625479199
Duka ni jipya, hivyo ukija ni kama tunaanza.
Sifa: Uwe umesomea utoaji wa dawa
Mwaminifu
Mchamungu
Umri kuanzia 20 na kuendelea.
Kwa mawasiliano zaid, wasiliana na namba zifuatazo, 0657911852
0625479199