rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Ndg M TZ,Kama mpaka leo hujapata kazi hizo hapo juu na hujui kwanini nenda Quality Plaza/Pugu Road njia ya kwenda uwanja wandege,
kuna supermarket /duka la UCHUMI-kutoka kenya.
Wanasema wamekuja na wafanyakazi wao kuanzia mlinzi,mpishi,mpaka mfagiaji kwa sababu wa Tanzania ambao ni qualified hamna.?*?
Hivi ndg zetu wa Immigration mnafanya kazi kweli,maana sitaki kuamini kama hawa jamaa wanavibali vya kazi-serikali yetu ilivyo makini haiwezi kufanya kosa hilo.
Nasikia Uchumi Supermarket ni serikali ya Kenya,jamani kama ni kweli hawawezi hata kutuonea huruma -hii Afrika mashariki ikikolea tutakimbilia wapi sisi,hii sio timing bomb?
Yangu macho!
kuna supermarket /duka la UCHUMI-kutoka kenya.
Wanasema wamekuja na wafanyakazi wao kuanzia mlinzi,mpishi,mpaka mfagiaji kwa sababu wa Tanzania ambao ni qualified hamna.?*?
Hivi ndg zetu wa Immigration mnafanya kazi kweli,maana sitaki kuamini kama hawa jamaa wanavibali vya kazi-serikali yetu ilivyo makini haiwezi kufanya kosa hilo.
Nasikia Uchumi Supermarket ni serikali ya Kenya,jamani kama ni kweli hawawezi hata kutuonea huruma -hii Afrika mashariki ikikolea tutakimbilia wapi sisi,hii sio timing bomb?
Yangu macho!