Kazi TTCL

Kazi TTCL

bungilo

Member
Joined
May 5, 2008
Posts
6
Reaction score
0
Wakuu mwezi uliopita kuna interview ya written ilifanyika ya nafasi mbalimbali TTCL.Hadi leo kimya, vipi kuna mtu yeyote mwenye taarifa?washaita watu kwa ajili ya usahili wa pili?
 
Wakuu mwezi uliopita kuna interview ya written ilifanyika ya nafasi mbalimbali TTCL.Hadi leo kimya, vipi kuna mtu yeyote mwenye taarifa?washaita watu kwa ajili ya usahili wa pili?

Sema usikike, sawa walifanya writtwn interview ni za post gani? Maana siku za aribuniTTCL wametangaza nafasi za kutosha
 
Kuna Tax officer, Management accounting officer, Fixed Asset/capital controller.
 
Kuna Tax officer, Management accounting officer, Fixed Asset/capital controller.
"kuna usahili ulifanyika tarehe 23.6.2014 kwa upande wa assistant accountant fixed assets na baada ya wiki mbili yaani mwanzoni mwa mwezi wa saba wakamwita aliyefaulu kuanza kazi"mwisho wa kunukuu
 
Mkuu tuwekee hizo nafac au tu direct zinapatikana wapi wapi
Sema usikike, sawa walifanya writtwn interview ni za post gani? Maana siku za aribuniTTCL wametangaza nafasi za kutosha
 
Wakati mnafanya interview watu walikuwepo tayari..pole sana.
 
Nasikia kuna nafasi wanetabgaza oppotunity tanzania ltd ziko sehemu wengine zoom lakini nimejaribu kucheki sijaziona
 
Anayesema wameanza kazi ni uongo. Ndio wametuma barua wa waajiri waliopita kuangalia kama uliwahi fanya kazi zamani. Watu wanategemewa kuanza kazi mwezi wa 9
 
Anayesema wameanza kazi ni uongo. Ndio wametuma barua wa waajiri waliopita kuangalia kama uliwahi fanya kazi zamani. Watu wanategemewa kuanza kazi mwezi wa 9

uko sahihi mkuu hata ofcn kwetu alikuja hr wa ttcl na fomu mana kuna dogo alikuwa anafanya kaz kwetu amepata kaz ttcl
 
Jamaa wapo fair na watu waache kulalami..kumbe wakishatuma barua kwa muajiri wako aliyepita ndio ushapata kazi
 
Sema usikike, sawa walifanya writtwn interview ni za post gani? Maana siku za aribuniTTCL wametangaza nafasi za kutosha

ofcoz ata mimi ameniweka njia panda juu ya hyo interview iliyofanyika ni kwa hizi post za hivi karibuni ama?!
 
Back
Top Bottom