Kazi nyingine wanaume sio zenu

NIMPENDENANI

JF-Expert Member
Nov 2, 2014
6,114
5,380
Habari za Asubuhi waungwana,

Tulikua na harusi last two weeks, sasa hua tuna chukua wachoraji Henna wanakuja kutuchora nyumbani mara hii tulipata wachoraji kama wawili na hua tuna chukua kama wa 4 -5 sababau tunakua wengi, tumeshangaa kumuona mkaka ana chora watu Henna tena fundi na anafunguliwa mgongo anachora kiuno anachora, nikajiuliza ivi kweli ni sawa mkaka wa 30-32yrs unazungukwa na wadada huyu kafungulia mguu na its okay by him.

Wanaume naomba kujua ivi hii ni sawa?
Waosha kucha mie pia hua siwaelewi ila huyu mtia Henna ndio amenifanya nijuilize na nikamuliza why amechangua kazi hii ya kutia Henna anasema imetoka tuu na kapenda na pia hela yake ni nzuri haisubiri mwisho wa mwezi.
 
Nadhani ni demand kubwa ya maisha inayowekwa kwa wanaume inawabidi kufanya kazi kama hizo...Hizo zina afadhali kuliko kuzama mgodini na kuchimba mchanga... ila ni kazi za kike
Mwanaume anatakiwa afanye kazi physical na rough nyingine ni kuwaachia wadada/wamama wajipatie vipato pia
 
Dah! Chuo chao ni wapi jamani niende kusomea?? Miye nikiona chuchu tu huwa nimeshamalizana naye, sasa nkipewa tena neema ya kubonyeza bonyeza ili kuuchora mstari wa kimviringooo si ningelishiba mwaka mzima?? Hata pesa staki, usiku naenda piga roba ntakula. Dah! Kuna wenzetu wanafaidi. Si ajab mlikuwa ka 40 hivi jamaa likajipatia hapo ka 10 hivi. Saiz mbali mbali, natamani ningelikuwa huo mkono wake wa kushoto
 
Back
Top Bottom