Unataka kufanya kazi NMB au unatafuta kazi kama ni kufanya kazi nmb tu wana account yao hapa jf unaweza ukawa PM wakakupa maelekezo
Mtaani kunanyoosha watu.hivi hawa nao siku hizi wamekuwa crdbd na uchagalism? au postabank na uayalism plus uiringalism? maana unaomba kazi mpaka unatamani uwaombe wakupe wadada wote wanaofanya kazi pale uwage,geeeeeeeeee!