colony
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 361
- 494
Habarin wana jamvi.
Ni kijana niliyehitimu chuo na nina stashahada ya utaalamu wa maabara hospitalin (medical technician).
Kwa yeyote mwenye maabara or hospital iliyo na upungufu wa wataalam wa maabara tunaweza kuwasiliana.
Nina uzoefu Mkubwa kwan nimeshafanya mazoez kwenye hospital kubwa kama KCMC, Amana referral hospital &Ocean road cancer institute etc
Napatikana dar es salaam, banana near aviation.
Contact info 0621064771
Ni kijana niliyehitimu chuo na nina stashahada ya utaalamu wa maabara hospitalin (medical technician).
Kwa yeyote mwenye maabara or hospital iliyo na upungufu wa wataalam wa maabara tunaweza kuwasiliana.
Nina uzoefu Mkubwa kwan nimeshafanya mazoez kwenye hospital kubwa kama KCMC, Amana referral hospital &Ocean road cancer institute etc
Napatikana dar es salaam, banana near aviation.
Contact info 0621064771