Kazi kwenu kinadada

Kazi kwenu kinadada

Utanilipa shilingi ngapi?

Maana itabidi niache hii kazi ya kuajiriwa steshenari nije nimuendeshe Bi mkubwa wako..!
 
Hii ipeleke kwenye jukwaa la KAZI/TENDER na uandike "DEREVA WA KIKE ANAHITAJIKA". Mama ndiyo amesema anahitaji dereva wa kike au nyie ndiyo mmemwamulia? Wanawake kwa wanawake ndugu yangu sidhani kama watawezana, nakushauri aajiri dereva wa kiume, (au unaogopa jamaa atasimamia show?).
 
Hii ipeleke kwenye jukwaa la KAZI/TENDER na uandike "DEREVA WA KIKE ANAHITAJIKA". Mama ndiyo amesema anahitaji dereva wa kike au nyie ndiyo mmemwamulia? Wanawake kwa wanawake ndugu yangu sidhani kama watawezana, nakushauri aajiri dereva wa kiume, (au unaogopa jamaa atasimamia show?).

Heshima muhimu.mister
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom