KAZI KWELI IPO HAPO KWA WADANGANYIKA MPAKA WARUDI KWA MOLA WAO NDIO DENGUE ATAONDOKA.

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,316
33,125
KAZI KWELI IPO HAPO KWA WADANGANYIKA MPAKA WARUDI KWA MOLA WAO NDIO DENGUE ATAONDOKA.jpg
 
Tatizo sio mbu tatizo ni wizara ya afya suala la kinga na udhibiti wa malaria upo kisiasa zaidi..kusema ukweli idara ya kinga inapumulia mashine...hivyo hivyo haya magonjwa yakuambukizwa kama malaria, denge n.k yataendelea kuitesa hii nchi milele zote...
 
Tatizo sio mbu tatizo ni wizara ya afya suala la kinga na udhibiti wa malaria upo kisiasa zaidi..kusema ukweli idara ya kinga inapumulia mashine...hivyo hivyo haya magonjwa yakuambukizwa kama malaria, denge n.k yataendelea kuitesa hii nchi milele zote...
Kwa hiyo Wizara ya Afya ina uwezo wa kuzuia au kumaliza hilo tatizo la maradhi ya Mbu lakini hawalitekelezi?
 
Back
Top Bottom