MITOCHONDRIA
Senior Member
- Feb 21, 2013
- 147
- 34
Wadau leo nimesikia kwenye kipindi cha magazeti kuna kazi kibao wizara ya afya . Ila wesite yao haionyeshi chochote , hebu mwenye infor atujuze plz
yani wewe haunazo kabisa ndio nini umeandika hapa?????????hizo ni siasa tu kaka
waziri alikuwa anajibu swali bungeni tu kaka ni porojo tu pale hamna kitu wewe tafuta chuo ukafundishe sio lazima upractice mdcn kaka unachezea bongo..liwalo na liwe kaka