interview mtafanya lini?
Namba haipatikani.nahitaji hiyo kazi
Nyie ni kama wale XXmarketing, hamna kitu mnatesa vijana tu, wakuu kazi zenyewe ni za kutembea juani kuuza bidhaa zao, iko poa kama mtaipenda, nakumbuka nlipotoka chuon nliwahi kufika pale ila nkashindwana nao
mbona kama forever living?
daaaa wakuu Kaz kwel Kaz lkn Abdul mi najua ku2mia iyo Mc word excel pia na installation ya software naweza na najiamin na mchangamfu 0713844841 km utaona nakufaa nichek na pia najua na mafund weng km wa magar na wauza spea za magar, mafund wa majumba wa rang za nyumba na rang za spray furniture sina meng ahsant
Bi Zainab mie nafaa?
Mzee Abdul,likitokea shavu la kuwa PA wa FaizaFoxy usilitangaze,niPM tu kimyakimya!
Halafu na wewe fungua account yako bhana,ina mana utakuwa unasoma hadi PM za Aunt Zai?
Hahahahahahaha..
nahisi, kama magumashi hapa , ngoja niendelee kuchunga n`gombe porini tu,
inshaallahHatuna sababu za kuwa "magumashi".
Ninakutakia uchungaji mwema ni kazi nzuri sana hiyo, mitume wote walikuwa wachungaji.