Kazi inanitenga na familia yangu, maisha yamepungua ladha

pureman2

JF-Expert Member
Aug 21, 2019
1,494
2,538
Salaam wakuu

Mwaka 2020 nilihamia Dom kikazi. Leo naenda mwaka wa tatu Kuna aspects za kifamilia nazimiss sana.

Familia yangu ilibaki mkoa X coz mwenza wangu pia ni mtumishi sector binafsi na hivyo decision ya kuacha kazi ili ani join imekua na ugumu sana.

Mwaka huu tumepata mtoto wa kwanza na Sasa nimekua baba. Kila nikitoka kazini na kurudi home picha ni ya mtoto ndo inatawala my mind. Namiss kumuona alivyo inocent na jinsi mama yake anavyopambana kumtunza. Hakika ni experience mpya ambayo natamani kuishiriki kikamilifu.

Sasa umbali huu na familia yangu unaondoa the true meaning ya familia. Bado naishi kisela mnoo, nikitoka kazini nipite mtaani nile ndo nirudi home.

Sipendi kupika, sipendi kufua the situation ambayo inanifanya nimiss my family. Kazi ndo the only source of my income hivyo sina jeuri ya kuiacha ila ime cost my family happiness.

Hebu wakuu naomba tu share experience katika hali kama hii na jinsi ya kuisolve.

Kukiwa na mwana JF ambae yuko utumishi, DM me plz Kuna issue nahitaji msaada.

JF; the family where you get every help you need

Asanteni
 
Unajipa Muda wa kusema na Mungu wako lkn?.

By the way, Mapenzi ya Mbali, ilikua miaka ya 2000 kushuka chini kabla watu hawajawa ma simu, hamna Facebook Wala wasap, Wala Twi, Wala IG Wala Tinder ,Wala nn.


Una uhakika mtoto ni wako?? 🤣🤣
 
Pole mkuu Nina Imani maisha ama universe Ina kila kitu so unachagua unachotaka. Naona pesa sio shida Mana wote mnapiga kazi so hata Kama mkiamua kujenga mnashambulia wawili inawahi kuisha.
hajapaewa maternity leave.

tafuta mfariji hapo ulipo wa kufua smt upikiwe chakula to your own terms
 
Hold on.....🙇‍♂️
Mkuu, humu kuna wanaume wanatamani nafasi kama hizo maana ndani panawaka moto wa dunia...😜😜
Anyway......
Hongera kwa kupata mtoto, lakini kama nimekuelewa vyema basi ongeza mke kama dini inaruhusu, kama sivyo basi angalia ile namna yetu mkuu...😎
Najua wengi hawato upenda ushauri huu, lakini kiukweli wanaume 95% hufanya hivi "kasoro mimi naapa"
 
Pole mkuu Nina Imani maisha ama universe Ina kila kitu so unachagua unachotaka. Naona pesa sio shida Mana wote mnapiga kazi so hata Kama mkiamua kujenga mnashambulia wawili inawahi kuisha.
hajapaewa maternity leave.

tafuta mfariji hapo ulipo wa kufua smt upikiwe chakula to your own terms
Mwisho wa siku atakuja kula mashine ya kupika na kufua
 
Pole mkuu Nina Imani maisha ama universe Ina kila kitu so unachagua unachotaka. Naona pesa sio shida Mana wote mnapiga kazi so hata Kama mkiamua kujenga mnashambulia wawili inawahi kuisha.
hajapaewa maternity leave.

tafuta mfariji hapo ulipo wa kufua smt upikiwe chakula to your own terms
Asante Kwa ushauri mkuu. Maternity leave kapewa ila nimemuacha chini ya uangalizi wa wazazi .
 
Back
Top Bottom