Kazi hii hapa

Kazi hii hapa

Gor

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,791
Reaction score
850
Tafuta wateja raia wa Tanzania wanaotaka kununua plots/viwanja/mashamba Dsm maeneo ya Ilala na Temeke then pata commission ya 50,000/= kwa kila mauzo ya kiwanja yenye ukubwa wa 50ft * 40ft.

Taarifa ya plots/viwanja

ukubwa:
50ft kwa 40ft(mnunuzi anaweza kudoule viwanja kadri ya uwezo wake)
bei: 2,000,000/=
mahali: Msongola ilala(3 km toka uwanja wa azam complex)
Contact: 0717 288306( ogiro-mzee wa chadema)
 
Duuuuuh kwel ajira zmeisha aisee paka zle za kujiajili nazo zmekuwa za kuajiliwa...kuanzia leo nachoma moto vyetoi
 
Hivi kiwanja cha 40ft unajenga nini hasa? 12m si hata sebule haitoshi.
 
mmh... huo ndio ukubwa wote wa kiwanja au ndio kiwango cha chini cha upimaji na uuzaji maana kama hicho ndicho kiwanja chenyewe cjui unajenga nini maana kuna rum amabzo ni kubwa kuliko hata hicho kiwanja
 
Back
Top Bottom