Kazi/ biashara ya pamoja

Kazi/ biashara ya pamoja

najua

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
224
Reaction score
54
Kwa yeyote anayehitaji kufanya biashara pamoja nami inayohusu elimu awe na laptop namkaribisha tufanye pamoja .Biashara iko vizuri kwa kiasi chake kama unabidii na kujituma unaweza pata si chini ya laki moja na nusu ndani ya wiki .
Kigezo kikubwa ni uwe na laptop au tablet , uwe na uwezo mzuri wa kujieleza uwe mkazi wa Dar es salaam . Nahitaji watu sita kufanya nao kazi , namba yangu ni 0714890018. Maelezo zaidi ni pm au nitafute kwenye hiyo namba
 
Kwa yeyote anayehitaji kufanya biashara pamoja nami inayohusu elimu awe na laptop namkaribisha tufanye pamoja .Biashara iko vizuri kwa kiasi chake kama unabidii na kujituma unaweza pata si chini ya laki moja na nusu ndani ya wiki .
Kigezo kikubwa ni uwe na laptop au tablet , uwe na uwezo mzuri wa kujieleza uwe mkazi wa Dar es salaam . Nahitaji watu sita kufanya nao kazi , namba yangu ni 0714890018. Maelezo zaidi ni pm au nitafute kwenye hiyo namba
Mkuu anaeweza kujieleza kwa lugha gani?
 
Hahahaha,hii post kali kweli.
Maana imekuja kwa style nyingine kabisa ya kijanja aisee,watu wanambinu sana,maana anaona watu posts zile wameishazistukia.
Tulieni angalieni post kwa umakini.Na mlioingia chamber(PM)mje mtujuze
 
wakuu ila tubadilike na tukubali tu nert wok marketing kwa sasa hutunaujsnjs na hatuikwepi coz wenzetu wameshaanza ianza toka mudamrefu sana na kwa sasani sehemuvya mtaala mashuleni inafundishwa na kampuni ni nyingi mno kila siku zinajitokeza sema biashara hiikwa afrika inashindwa kwa sababu kuntu .
sababu hiyo ni zinalenga watu wenye vipato kwa mtaji wake.
hivyo tukubali tu ni mfumo tyr umeingia karne ya 21 namna nyingine ya kufanya biashara.
kama mlivyofuata digital from analog vivyo hivyo tubadilike but kama unaona inamanufaa kwako.
 
Hahahaha,hii post kali kweli.
Maana imekuja kwa style nyingine kabisa ya kijanja aisee,watu wanambinu sana,maana anaona watu posts zile wameishazistukia.
Tulieni angalieni post kwa umakini.Na mlioingia chamber(PM)mje mtujuze

Hakuna kitu kama hiko, mambo ya network marketing sipo huko
 
Vp?? nikupigie Sim tufanye kazi, ? Coz am ready.. Laki unusu c haba
 

Ndugu ebu futa kwanza mawazo kudhani kila kitu ni Forever.Hii kitu ni kitu ingine kabisa,we cha msingi kama unania au unataka kudhibitisha kuwa siyo Forever hebu mtafute huyo mdau then utaelewa.....acha kukurupuka na kukatisha tamaa wengine.

Nawasilisha!
 
Ndugu ebu futa kwanza mawazo kudhani kila kitu ni Forever.Hii kitu ni kitu ingine kabisa,we cha msingi kama unania au unataka kudhibitisha kuwa siyo Forever hebu mtafute huyo mdau then utaelewa.....acha kukurupuka na kukatisha tamaa wengine.

Nawasilisha!
mbona hupokei hiyo cmu yako
 
Back
Top Bottom