GE2025 Kawe pamezidi kunoga. Asha Mohamed arejesha fomu kugombea Udiwani wa Viti Maalum Kawe

GE2025 Kawe pamezidi kunoga. Asha Mohamed arejesha fomu kugombea Udiwani wa Viti Maalum Kawe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
2,439
Reaction score
6,692
Wakuu,

Asha Mohamed mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kinondoni arejesha fomu kugombea Udiwani Viti Maalum Jimbo la Kawe wilaya ya Kinondoni

 
Back
Top Bottom