hakuna adhabu nzito na kubwa kwa mtu mwenye akili timamu kama KUISHI MAISHA ya UCHAWA ya kujitoa akili/kujizima data ,kujitoa ufahamu na kuamua kuishi kwa kushikiwa akili .
yani prof kuwa=lucas mwashambwa
si unaona hata paskali anavyopata tabu kudumu katika SCRIPT kujitoa akili kuwa chawa...kuna wakati akili inagoma anakuwa paskali kuna wakati tena paskali anakuwa lucas mwashmbwa..