Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,954
- 8,148
Aliye kuambia ukimwi kuupata ni rahisi nani? Kwa mechi tunazo cheza wote tunge ungua
👍Utajiri wa kwanza ni afya...afya ikitetereka tu,uhuru hakuna.
Manina.Kuna demu roho inaniuma mpaka kesho. Alikuwa anakimbiza mtaa mzima kwa uzuri. Alinishobokea mpka akawa ananiambia direct. Mzee sikupiga kwa kuwa mtaani alikuwa na kashfa ameungua. Na nikamchana live kwamba wewe NI tank la mafuta lenye betri inayotoa cheche unalipuka mda wowote, akalia kinoma.
Mazee nimekutana naye mwaka juzi after 11 yrs yupo na two health twins na hub wake. Then akaning'oneza wangekuwa wakwako Hawa. Dah kidogo nilie. Alafu ndo amezidi kunona daddeki
Kwani si kawaida tu, na mtu hutakiwi kumwambia hivyo makavu makavu nikama kumnyanyapaa, unamwambia tu tukacheki afya zetu kisha maisha yaendeleeKakubali kwenda kupima but anataka nmwambie ni nani aliyeniambia km yy kaungua, mambo y kusutana sas hay