Kavukavu soksi pembeni

Kavukavu soksi pembeni

Amani ya moyo utaipata tu pale utakapotoka hospitali ukiwa na majibu yako. Yawe mazuri au mabaya, cha msingi ni kujua kuishi na majibu yako. Ukiliweza hilo utakuwa umerudisha amani ya moyo.
Yataka moyo
 
Yataka moyo
Amani ya moyo utaipata tu pale utakapotoka hospitali ukiwa na majibu yako. Yawe mazuri au mabaya, cha msingi ni kujua kuishi na majibu yako. Ukiliweza hilo utakuwa umerudisha amani ya moyo.
 
Habari wakuu, Tujipongeze kwa harakati za kujenga Tanzania yenye viwanda

Twende moja kwa moja kwenye mada yetu,wazee wa kuuza mechi za ugenini, kavukavu bila soksi

Hivi unajickiaje unaruka na mtoto mkali tena zaidi ya mara mbili umembidua vya kutosha, mikunjo kam boyka yan umekita co shoo ya kitoto, alafu baad y kam wik hv unackia mtaan na kwa washkaj kua uyo manzi kaungua yaan anamiwaya
Alafu ulpata bila soksi
Broh utafanya nn urudishe aman y moyo...??
Tena ukute ulikua unapiga ndo anaingia bleed ukitoa kichwa kimejaa damu nyekunduuu. Hapo hata upishi wa kwamba labda damu yake na yako hazikugusana hakuna. Huitaji kipimo hata.
 
Habari wakuu, Tujipongeze kwa harakati za kujenga Tanzania yenye viwanda

Twende moja kwa moja kwenye mada yetu,wazee wa kuuza mechi za ugenini, kavukavu bila soksi

Hivi unajickiaje unaruka na mtoto mkali tena zaidi ya mara mbili umembidua vya kutosha, mikunjo kam boyka yan umekita co shoo ya kitoto, alafu baad y kam wik hv unackia mtaan na kwa washkaj kua uyo manzi kaungua yaan anamiwaya
Alafu ulpata bila soksi
Broh utafanya nn urudishe aman y moyo...??
Pole kwa yaliokukuta tuliza pressure hayo ndiyo marupurupu ya uzinzi ukute hapo unamke nyumbani
 
Umeambiwa badala ungemwambia twende tukapime si ajabu hao aliwakataa wanyoosha vidole wao ndiyo huanza kufa
Kuna demu roho inaniuma mpaka kesho. Alikuwa anakimbiza mtaa mzima kwa uzuri. Alinishobokea mpka akawa ananiambia direct. Mzee sikupiga kwa kuwa mtaani alikuwa na kashfa ameungua. Na nikamchana live kwamba wewe NI tank la mafuta lenye betri inayotoa cheche unalipuka mda wowote, akalia kinoma.

Mazee nimekutana naye mwaka juzi after 11 yrs yupo na two health twins na hub wake. Then akaning'oneza wangekuwa wakwako Hawa. Dah kidogo nilie. Alafu ndo amezidi kunona daddeki
 
Usiogope kijana! Kufa kupo tu. Unaweza usife kwa ngoma ukaja kufa kama wale ndugu zetu wa Moro.
 
Hapo lazma uende kanisan hat kam huendag
Tena ukute ulikua unapiga ndo anaingia bleed ukitoa kichwa kimejaa damu nyekunduuu. Hapo hata upishi wa kwamba labda damu yake na yako hazikugusana hakuna. Huitaji kipimo hata.
 
Umeambiwa badala ungemwambia twende tukapime si ajabu hao aliwakataa wanyoosha vidole wao ndiyo huanza kufa
Kakubali kwenda kupima but anataka nmwambie ni nani aliyeniambia km yy kaungua, mambo y kusutana sas hay
 
Habari wakuu, Tujipongeze kwa harakati za kujenga Tanzania yenye viwanda
Twende moja kwa moja kwenye mada yetu,wazee wa kuuza mechi za ugenini, kavukavu bila soksi
Hivi unajickiaje unaruka na mtoto mkali tena zaidi ya mara mbili umembidua vya kutosha, mikunjo kam boyka yan umekita co shoo ya kitoto, alafu baad y kam wik hv unackia mtaan no kwa washkaj kua uyo manzi kaungua yaan anamiwaya
Alafu ulpata bila soksi
Broh utafanya nn urudishe aman y moyo...??
Ninao,ninao,ninaooo!!kilichobaki nikujikubali.Isitoshe virusi havitaweza kamwe kuharibu rekodi nzuri niliyoiweka, badala yake vitaiimarisha nikimchukua mrembo jumla.
 
Sheria ya kwanza ya mabaharia:

Hakuna kuongelea health status za mademu wanaowafahamu.

Ikiwa mnaongea hayo masuala badilisha marafiki.

Mnaanzaje anzaje maongezi mpaka kufikia kuongelea kama mtu ameathirika au la?
 
Kuna demu roho inaniuma mpaka kesho. Alikuwa anakimbiza mtaa mzima kwa uzuri. Alinishobokea mpka akawa ananiambia direct. Mzee sikupiga kwa kuwa mtaani alikuwa na kashfa ameungua. Na nikamchana live kwamba wewe NI tank la mafuta lenye betri inayotoa cheche unalipuka mda wowote, akalia kinoma.
Mazee nimekutana naye mwaka juzi after 11 yrs yupo na two health twins na hub wake. Then akaning'oneza wangekuwa wakwako Hawa. Dah kidogo nilie. Alafu ndo amezidi kunona daddeki
Ndio kusema lilikua tank la lotion hukujua tu, Mkuu!?
 
mkuu unamaana kinachotumaliza ni hofu si ugonjwa!!?
Stress ni hatari sana zaidi ya UKIMWI.

Watu wanishi miaka kibao wakiwa na UKIMWI.

Ukizingatia yote yanayohitajika ukiwa na UKIMWI wala hutapata shida.
 
Kuna demu roho inaniuma mpaka kesho. Alikuwa anakimbiza mtaa mzima kwa uzuri. Alinishobokea mpka akawa ananiambia direct. Mzee sikupiga kwa kuwa mtaani alikuwa na kashfa ameungua. Na nikamchana live kwamba wewe NI tank la mafuta lenye betri inayotoa cheche unalipuka mda wowote, akalia kinoma.
Mazee nimekutana naye mwaka juzi after 11 yrs yupo na two health twins na hub wake. Then akaning'oneza wangekuwa wakwako Hawa. Dah kidogo nilie. Alafu ndo amezidi kunona daddeki
Hhaha inaumaga hiyo. Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom