busara kwanza
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 239
- 109
Ndugu wanajf kama tulivyoona na kusikia maazimio ya bunge ya kutokufanya kazi na CAG kutokana na kilichodaiwa kulidhalilisha bunge kutokana na kauli yake kwamba bunge ni dhaifu je wewe kama mtanzania maazimio yaliyofikiwa na na bunge ni sahihi? Pili je kauli ya CAG ina ukweli? Kwa maoni yako weka herufi D, kama unakubaliana na kauli ya cag na weka herufi S, kama hauafikiani na kauli hiyo. Mtanisamehe kwa mwandiko mchafu maana ndo mara ya kwanza kupost thread hapa jf