Dar Express
Member
- Apr 1, 2014
- 46
- 4
Wanajamvi
Akizungumza hapo jana katika siku ya wafanyakazi duniani mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo amesema kuwa mlipuko wa bomu ktk baa ya Night Park Mianzini sio ugaidi bali ni njama za kikundi cha watu wenye malengo maalum ktk jiji la Arusha.
Hii kauli niliitafsiri kuwa analenga upande wa pili kisiasa huku ikifahamika kuwa cheo chake kina UKADA WA CHAMA TAWALA.
Najiuliza kuwa iweje Mulongo awe polisi na mahakama?
Akizungumza hapo jana katika siku ya wafanyakazi duniani mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo amesema kuwa mlipuko wa bomu ktk baa ya Night Park Mianzini sio ugaidi bali ni njama za kikundi cha watu wenye malengo maalum ktk jiji la Arusha.
Hii kauli niliitafsiri kuwa analenga upande wa pili kisiasa huku ikifahamika kuwa cheo chake kina UKADA WA CHAMA TAWALA.
Najiuliza kuwa iweje Mulongo awe polisi na mahakama?
