Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,006
Igwe wanaJF,
Ajizi nyumba ya njaa, CHADEMA ikiongozwa na Kamanda wa anga kila kukicha wameendelea kuuthibitisha ulimwengu kuwa wao ni CCM B kwani sasa wameamua kutoipinga CCM katika chaguzi za marudio, sasa sio siri tena, kauli ya mzee Mwinyi kuwa CHADEMA ni CCM B imetimia.
Karibuni tujadili kwa hoja.
Ajizi nyumba ya njaa, CHADEMA ikiongozwa na Kamanda wa anga kila kukicha wameendelea kuuthibitisha ulimwengu kuwa wao ni CCM B kwani sasa wameamua kutoipinga CCM katika chaguzi za marudio, sasa sio siri tena, kauli ya mzee Mwinyi kuwa CHADEMA ni CCM B imetimia.
Karibuni tujadili kwa hoja.