Kwanza kabisa mleta mada hii una tatizo kama la huyo waziri wako, yani wewe na Mulugo hamjui tofauti ya matumizi ya R na L. wewe umesema KAURI, neno sahihi ni KAULI. Huyo waziri wako ndiyo kabisaaaa hata nashindwa kuhesabu ni maneno mangapi kayakosea ktk hotuba yake wkt anajibu hoja za wabunge. natoa mifano michache ninayoikumbuka. mf alisema, elimu BOLA, badala ya BORA, TABOLA badala ya TABORA, NAZANI basala ya NADHANI, yaani mpaka nashangaa huyu bwana taaluma yake ni nini na mbona kapewa wizara nyeti lkn hata matumizi ya maneno na herufi hajui. kapataje uwaziri huyu wkt hana ufasaha?????????