Kauli ya Magufuli imeua mtaji wa UKAWA

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
37,551
47,206
kwa muda mrefu sasa vyama vya upinzani vimekua vikiwekeza sana katika vijana ambao wamekua wakikaa vijiweni bila kujishughulisha.

Unakuta vijana wanaamka asubuhi wanaenda vijiweni kucheza karata, bao, draft na pool kama kamari.

Wakati wakiendelea na michezo yao basi huibua mijadala ya kuilaani serikali kuwa ndio iliyowaweka katika hiyo hali wakati wameacha mapori na mapori bila kuyafanyia kazi.

Watu kama hawa ni wavivu tu na ni sahihi kama anavyosema Magufuli kuwa wakumbushwe kuwajibika hata kwa nguvu.

Kwa kuwa sasa kila mtu atakua busy kwenye kuzalisha UKAWA watakosa watu wa kuwadanganya na kuwatumia kisiasa.

Nashukuru Magu kwa kuliona hili.
 
kwa muda mrefu sasa vyama vya upinzani vimekua vikiwekeza sana katika vijana ambao wamakua wakikaa vijiweni bila kujishughulisha.

unakuta vijana wanaamka asubuhi wanaenda vijiweni kucheza karata,bao, draft na pool kama kamari.

wakati wakiendelea na michezo yao basi huibua mijadala ya kuilaani serikali kua ndio iliyowaweka katika hiyo hali wakati wameacha mapori na mapori bila kuyafanyia kazi.

watu kama hawa ni wavivu tu na ni sahihi kama amavyosema magufuli kua wakumbushwe kuwajibika hata kwa nguvu.

kwa kua sasa kila mtu atakua busy kwenye kuzalisha ukawa watakosa watu wa kuwadanganya na kuwatumia kisiasa.

nashukuru Magu kwa kuliona hili.
huna lolote kibogoyo weee
 

Attachments

  • kibogoyo.jpg
    kibogoyo.jpg
    6.4 KB · Views: 95
kwa muda mrefu sasa vyama vya upinzani vimekua vikiwekeza sana katika vijana ambao wamakua wakikaa vijiweni bila kujishughulisha.

unakuta vijana wanaamka asubuhi wanaenda vijiweni kucheza karata,bao, draft na pool kama kamari.

wakati wakiendelea na michezo yao basi huibua mijadala ya kuilaani serikali kua ndio iliyowaweka katika hiyo hali wakati wameacha mapori na mapori bila kuyafanyia kazi.

watu kama hawa ni wavivu tu na ni sahihi kama amavyosema magufuli kua wakumbushwe kuwajibika hata kwa nguvu.

kwa kua sasa kila mtu atakua busy kwenye kuzalisha ukawa watakosa watu wa kuwadanganya na kuwatumia kisiasa.

nashukuru Magu kwa kuliona hili.
Hivi wewe mgonjwa huwa unafanyia evaluation post zako kweli?post ina zaidi ya 44 mchangiaji mmoja?
 
Sasa Ndo naamini Kwamba Ccm wamepagawa Na Huyo ni Mwepesi mno;

Hizo ni KAzi za meneja siyo Kiongozi !!!
Kuna watu wanajidanganya Matitizo ya Serikali ya ccm iliyoyatengenezaanatupia Ukawa !!
Nikuulize toka mkapa watu si wanacheza bao Na kujadiliana barazani ni
Je ni Ukawa ndo walikuwa Na serikali ???

Kwa maoni yangu nakupa taarifa tu hizi ni mbwembwe kama zile za kushusha bei ya sukari pasipo kutibu chanzo ambacho ni kodi kubwa !

Hili LA bao na dadapoa ni swala pia la ajira lishughulikiwe

Mfano :Kama awamu ya NNE ilivyoamua kutunga sheria yakuruhusu pikipiki kuwa chombo cha biashara Na kuongeza ajira !!
Acheni Mbwembwe fanyeni KAzi !!
 
Kwani Lowasa alipanga nini kwa vijana wa mtaani kwenye kampeni? Alisema atawatengenezea mazingira ya kufanya kazi masaa 24!

Nyie mnacopy bila mipango na mikakati madhubuti.

Aya, wapelekeni huko mashambani bila kuandaa mazingira muone. Labda kama mtawageuza WAFUNGWA!
 
kwa muda mrefu sasa vyama vya upinzani vimekua vikiwekeza sana katika vijana ambao wamakua wakikaa vijiweni bila kujishughulisha.

unakuta vijana wanaamka asubuhi wanaenda vijiweni kucheza karata,bao, draft na pool kama kamari.

wakati wakiendelea na michezo yao basi huibua mijadala ya kuilaani serikali kua ndio iliyowaweka katika hiyo hali wakati wameacha mapori na mapori bila kuyafanyia kazi.

watu kama hawa ni wavivu tu na ni sahihi kama amavyosema magufuli kua wakumbushwe kuwajibika hata kwa nguvu.

kwa kua sasa kila mtu atakua busy kwenye kuzalisha ukawa watakosa watu wa kuwadanganya na kuwatumia kisiasa.

nashukuru Magu kwa kuliona hili.

Hivi vijana wasio na ajira ni wanachama wa CDM tu??Ukiamka asubuhi fungua kinywa kwanza japo kwa maji ya moto
 
kwa muda mrefu sasa vyama vya upinzani vimekua vikiwekeza sana katika vijana ambao wamakua wakikaa vijiweni bila kujishughulisha.

unakuta vijana wanaamka asubuhi wanaenda vijiweni kucheza karata,bao, draft na pool kama kamari.

wakati wakiendelea na michezo yao basi huibua mijadala ya kuilaani serikali kua ndio iliyowaweka katika hiyo hali wakati wameacha mapori na mapori bila kuyafanyia kazi.

watu kama hawa ni wavivu tu na ni sahihi kama amavyosema magufuli kua wakumbushwe kuwajibika hata kwa nguvu.

kwa kua sasa kila mtu atakua busy kwenye kuzalisha ukawa watakosa watu wa kuwadanganya na kuwatumia kisiasa.

nashukuru Magu kwa kuliona hili.
Afu muda wa kula wanaenda ikulu kula au???

Kauli mfilisi ajiulize kwanini wanakaa vijiweni siyo kutumia utemi nguvu nyingi akili kiduchuu...
 
Akili yako km jina lako mlinzi wa fisi lumumba, kamwqmbie boss wako afikirie tena, kabugi mbaya mno km ilivyo ada kwa yeye kubugi, mwambie atulie, tumechoka Na kukanushwa kwa taarifa
 
Najiuliza na wale wa vijijini wanaolalamika kukosa ardhi ya kulimia huku wakipigana mikuki na risasi na mabepari wazawa na wagenisijui watawafanyaje?
 
serikali yako ndo imeacha watu njia panda kuna watu wamekwenda shule ajira wamekosa sababu ni hilo lichama lako la majipu

shambani Mimi mmoja wao napiga jembe sana lakini bei za mazao Na masoko ya uhakika ni shida tupu.

Msimu wa korosho ukifika lichama lako limeweka mpango wa manunuzi ya kutukopa yani nusu tunalipwa nusu tunalipwa baadae we ungekubali?

By shindu namwaka#
 
hahahahahhahahaha......Sehemu zote ambazo zina maendeleo...CCM imekataliwa

Kwa hio CCM relation to maendeleo is Inversely Proportional
Quote of a day!
CCM hapo ndio ilitakiwa kuanzia kujiuliza. Kwa kawaida hakuna binadamu yeyote ambaye hapendi maendeleo yake na jamii inayomzunguka. Kwa maana hiyo anauchukia umasikini.
Kuuchukia umasikini kutakusababishia kuchukia kitu chochote kinachokusababishia huo umasikini, kule waliko na maendeleo na wanataka maendeleo zaidi wanaichukia CCM. Tunapata picha gani? Ni kuwa wamegundua kuwa CCM ndio ugonjwa unaowaletea huo umasikini ns ndio maana wanauchukia.
CCM na umasikini ni sawa na uchafu na Kipindupindu. Chukia CCM utokomeze Umasikini wako.
 
Quote of a day!
CCM hapo ndio ilitakiwa kuanzia kujiuliza. Kwa kawaida hakuna binadamu yeyote ambaye hapendi maendeleo yake na jamii inayomzunguka. Kwa maana hiyo anauchukia umasikini.
Kuuchukia umasikini kutakusababishia kuchukia kitu chochote kinachokusababishia huo umasikini, kule waliko na maendeleo na wanataka maendeleo zaidi wanaichukia CCM. Tunapata picha gani? Ni kuwa wamegundua kuwa CCM ndio ugonjwa unaowaletea huo umasikini ns ndio maana wanauchukia.
CCM na umasikini ni sawa na uchafu na Kipindupindu. Chukia CCM utokomeze Umasikini wako.
Over nakupata
 
Mimi Nilitegemea mleta mada aje na mkakati bora wa namna ya kuboresha mkakati wa rais kuhusu VIJANA NA KAZI. Lakini wapi bado yuko kwenye kampeni za uchaguzi. Rais amesema uchaguzi umeisha tufanye kazi.
 
CCM ni chama cha kukurupuka tu lakini utekelezaji ni 'zero' kabisa. Mara elimu itolewe bure, mara sukari ishushwe bei, mara vijana wasicheze pool wakati wa kazi, mipango hii yote imefeli. Ni mabingwa wa kubwabwaja midomoni tu ili kufurahisha watu, lakini kutekeleza ni shiiida.
 
hahahahahhahahaha......Sehemu zote ambazo zina maendeleo...CCM imekataliwa

Kwa hio CCM relation to maendeleo is Inversely Proportional
and those areas are worse hit by ulevi kiasi kwamba watu toka nje ya nchi wanakua imported kufanya majukumu ya ndoa; sote tunafahamu ni kwa namna gani hicho unachokiita maendeleo wewe kinapatikana; na kibaya zaidi vizazi vilivyoleta hayo sasa si nguvu kazi tena; pita mitaani huko uone namna vijana wanavyopoteza muda kwenye vijiwe kwa kupiga soga kwenye miji hiyo hiyo. magufuli kawakamata pazuri lazima mlie
 
Back
Top Bottom